Ni mkoa gani naweza kuanza kilimo kwa vitu hivi nilivyo navyo?

My advice if your serious
Nenda LINDI kwenye wilaya ya nachingwea, kilwa kivinje au hata newala mi kuna jamaa nimemaliza nae chuo now yuko huko for almost 2 years na mambo yake yanaenda poa tu analima zaidi UFUTA, ALIZETI A LITTLE BIT na kununua korosho msimu ukifika. And he was started with a capital of 3ml only. Best of lucky mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My advice if your serious
Nenda LINDI kwenye wilaya ya nachingwea, kilwa kivinje au hata newala mi kuna jamaa nimemaliza nae chuo now yuko huko for almost 2 years na mambo yake yanaenda poa tu analima zaidi UFUTA, ALIZETI A LITTLE BIT na kununua korosho msimu ukifika. And he was started with a capital of 3ml only. Best of lucky mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
THANKS A MILLION ,MKUU
 
Usipo toka hutoki tena mkuu, la msingi kuliko yote hapo ni hao wateja wa uhakika. Hayo mengine ya kuvuna yanahitaji watu sahihi maana najua utakuwa sio mzoefu wa kilimo so kupata watu sahihi wa kukusaidia shamba ni jambo la msingi

Je umeshajua hiyo mbegu yako itazalisha aina ya mahindi ambayo wateja wako wanahitaji?

Kujibu swali lako, Leo ktk pitapita mitandaoni nikakuta picha za mama mmoja malkia wa nguvu anaitwa mama Alaska akipakiza shehena ya mahindi kwenye treni huko shinyanga. Huyu mama yeye Ana unga wake wa mahindi kwahiyo naamini alifanya utafiti akaona mahindi ya huko ndio bora. Kwahiyo ningekuwa Mimi wewe ningechukua ushauri wa huyo aliyesema kalime Geita/shinyanga

Kila la kheri na uwe na uchungu maana cha kupewa wakati mwingine bwana
 
Ukitulia unatoka mkuu, Moro achana nako piga chini sikushauri gharama za kukodi na kulima ziko juu wenyeji wazawa waswahili swahili, songea niliendaga mara moja tu kitambo kidogo ila kilimo cha mahindi na soya kipo safi nategemea kufanya tena survey mwaka huu mwishoni nikatembelee msimu wa kilimo, una trekta la aina gani mkuu alizeti jaribu kusogea maeneo ya dodoma. Tenga hata mwaka huu ufanye survey ujiridhishe, show simamia mwenyewe mwanzo mwami, never trust anyone kama huna muda wa kusimamia mwenyewe bora uache kaka watu wabaya sana hawana uchungu na vya watu kabisa anakufilisi na kukutia hasara haoni uchungu hata kidogo. Ukikomaa jaribu shinyanga kuna mbuga safi za mpunga, ukitoa mpunga unaweka dengu. Jaribu kukodi mashamba, usinunue bana matumizi kadri iwezekanavyo, kilimo kinatoa sisi wengine tumeanguka ila tumejua tulikosea wapi hatukati tamaa hata hivyo tunajipanga upya,

N.B Anza kidogo mkuu wangu its not a race its a marathon
 
Ukitulia unatoka mkuu, Moro achana nako piga chini sikushauri gharama za kukodi na kulima ziko juu wenyeji wazawa waswahili swahili, songea niliendaga mara moja tu kitambo kidogo ila kilimo cha mahindi na soya kipo safi nategemea kufanya tena survey mwaka huu mwishoni nikatembelee msimu wa kilimo, una trekta la aina gani mkuu alizeti jaribu kusogea maeneo ya dodoma. Tenga hata mwaka huu ufanye survey ujiridhishe, show simamia mwenyewe mwanzo mwami, never trust anyone kama huna muda wa kusimamia mwenyewe bora uache kaka watu wabaya sana hawana uchungu na vya watu kabisa anakufilisi na kukutia hasara haoni uchungu hata kidogo. Ukikomaa jaribu shinyanga kuna mbuga safi za mpunga, ukitoa mpunga unaweka dengu. Jaribu kukodi mashamba, usinunue bana matumizi kadri iwezekanavyo, kilimo kinatoa sisi wengine tumeanguka ila tumejua tulikosea wapi hatukati tamaa hata hivyo tunajipanga upya,

N.B Anza kidogo mkuu wangu its not a race its a marathon
shukrani kwa ushauri, naamini haujamdaidia aliyeomba tu. tupo wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nipigie ila ungekuja kibiti Pwani tulime Zhukini tikiti au pilipili kwa uzoefu na msaada piga 0692809620
 
Back
Top Bottom