Recent content by mkurya wa rebu

  1. M

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    samahani ndugu zangu nina subwofer ya sea piano ina muda kidogo toka naitumia ni zile za kizamani sp 1002 ghafra imeanza kuunguruma kama transfoma hata kama cjaiconnect na component nyingine inaunguruma hadi kero lkn inalia ukiiconect ila muungurumo hauishi mziki hausikiki vizuri hii imetokea...
  2. M

    KWELI Kuna dawa ya kuzuia maambukizi ya HIV ndani ya saa 72

    Asante kwa elimu mkuu ila kuna jambo nahitaji kulijua vzur limenipa ukakasi pia ni kukosoe kidogo hapo kwenye indication ya 50/50, indication ya pep ni 99% endapo itatumiwa kwa ufasaha. Nachohitajikukifahamu ni hapo uliposema kwamba pep ndo hzi ARV wanazotumia waathirika kufubaza makali ya...
  3. M

    Hatimaye bilionea kijana Thobias Bulugu azikwa makaburi ya Mahina

    Haya matukio tulikua tushayasahau mbona yamerudi kwa kasi sana! Shida ipo wapi? Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
  4. M

    Cowiti anusurika kuuawa Tarime na genge la wauaji, wadhurumati, wafanya magendo wakishirikiana na baadhi ya maafisa, asota mahabusu

    Kinacholeta shida ni namna nature ya mji wa tarime ulivojiweka. Kwanza ni mji ambao mabwanyenye(watawa, watu ambao wanajiona wao ndo kusema na walioshikilia uchumi wa tarime) ni wazawa hakuna mtu kuja alieweza kuwekeza uchumi nae akaonekana kwaio wanajitawala wenyewe hii inawapa kiburi sabu...
  5. M

    Cowiti anusurika kuuawa Tarime na genge la wauaji, wadhurumati, wafanya magendo wakishirikiana na baadhi ya maafisa, asota mahabusu

    we mtoa mada ni nani? tuanzie hpo kwanza Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
  6. M

    Natafuta kijana makini wa kusimamia pool table

    Kila lakheri mkuu, sitasahau wema wako tumefanya kazi muda mref ila polisi walinigeuza kama kitega uchumi + figisu kazi nliiona chungu all the same ukipatikana mchongo mwingine nipo tayar...wasalimie hao wazanaki.
  7. M

    Mnachokifanya NACTE ni wizi

    Kama kuna mtu anaweza kutusaidia mawasiliano yao yaliyo active atusaidie tafadhali
  8. M

    Mnachokifanya NACTE ni wizi

    ***** hawa mbwa wanakera kinyama alafu nao wanakula kwa kodi za wananchi kwamba wapo kazini yani asee mi washanifika kooni kabsa kwanza no zao tu waloweka kwenye website yao ni hazpatikani 24 hrs ukiwafata kwenye email ndo hawana muda kabsa cjui wanawekaga mawasiliano yann nchi ya hovyo sana...
  9. M

    Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

    Hapo rebu mzee wako anaitwa nan?
  10. M

    Kusitisha masomo ngazi ya diploma na kuishia ngazi ya cheti kwa kozi ya pharmacy.

    Poleni na majukumu wanajamvi, nahitaji msaada kwa mwenye ufahamu juu ya hili, mwanafunzi aliyesajiliwa kama diploma taker ktk kozi ya pharmacy akaamua kuishia ngazi ya cheti ni hatua gani anaweza kufanya ili aweze kufanya mtihani wa leseni? Kama inawezekana ama haiwezekani hadi amalize diploma
  11. M

    Clinical Medicine na Nursing ipi bora?

    Watu wa namna hii unakuta hata la saba hawakumaliza
  12. M

    Rafiki zangu wawili walifukuzwa chuo mwaka jana 2021, kesi ipo mahakamani

    hao madogo mistake waloifanya ni kukubali kuandika barua ya kukili huo tayar ni ushahidi tayari wamekubali walitenda kosa though sheria ni msemo kunauwezekano mkubwa wakuzipinga hizo barua na madai yao yakawa na mashiko hilo linawezekana kabsa kwa upande wa huyo madam pia anaonekana sheria...
  13. M

    Malalamiko ya Wanafunzi wa Kada ya Afya kuhusu Mitihani ya 'Supplementary'

    confirmation ya mwisho ni ratiba kutoka nacte mpaka sasa hakuna chuo kilichokwisha pewa ratiba utaratibu wa nacte ratiba hutolewa mwez mmoja kabla ya mitihani probably lolote linaweza kutokea trh ikasogezwa mbele
  14. M

    Malalamiko ya Wanafunzi wa Kada ya Afya kuhusu Mitihani ya 'Supplementary'

    Litafanyiwa kazi na hawa ma expart wa jamii forum ama tutalifanyia kaz sisi?
Back
Top Bottom