Recent content by Mkupa94

  1. M

    Boyfriend ana majibu ya dharau

    Inaonesha alikuwa anakutania ila wee ukachukulia kwel.msamehe kwa hlo ila kwa kes ya kukataa ucpajue kwake uckubar chunguza kwa makin kwann.
  2. M

    Nahisi simridhishi katika mapenzi

    Mungu akupe maisha marefu axante kwa maneno yako ya busara na ushaur ulioenda chuo kikuu.nmekupenda bure.
  3. M

    Nahisi simridhishi katika mapenzi

    Asante xana ndugu.
  4. M

    Nahisi simridhishi katika mapenzi

    Umetumia kigezo gan mbona una dharau ndugu.
  5. M

    Nahisi simridhishi katika mapenzi

    Thanks Ndg mi 27
  6. M

    Nahisi simridhishi katika mapenzi

    Weng wenu humu mna tatizo la kukarir hvo si makosa yenu ukiona 94 unajua nmezaliwa mwaka huo utasubr sana.
  7. M

    Mwanaume wangu yupo busy, nifanye nini?

    Amin n kwamba hakupend,mi ninachojua mapenz yana nafas kubwa na ni chachu ya maisha mengne kuendelea.hatakama yuko buzy kama anakupenda lazma angeweka utaratibu wa kuwasiliana na ww axubuh na jion angalau.pia nakushaur tengeneza utaratbu wa kuwasaliana nae uckurupke jkeep buzy ukifka muda...
  8. M

    Nahisi simridhishi katika mapenzi

    Jamani msichana wa kwangu amejaliwa maumbile makubwa(kike) sasa na mimi ndo vile nchi 3, yani naona kama simpatii japo anadai anaridhika lakini nina wasiwasi. Wadau niambieni cha kufanya kabla mambo hayajaharibika
  9. M

    Marriage can be enjoyed

    Aisee uko sahih kabxa mkuu dah umenifurahsha xana nmetoka kumwambia mchumba wang jana tu sheria hzo.
  10. M

    Nampenda sana ila simuelewi

    Nimeipenda bure!
  11. M

    Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

    Muamin mungu,xema ukwel uwe huru na atakayepngana na ukwel huyo mwendazmu,upo njia tofaut fanya maamuz watafute marafk zako uliofanya nao huo uchangu waweke waz,fany hvo kwa famil yako na ksha kwa bf wako.atakayetengana na ww.mwambie cfany kwa kumridhsha mwanadam ispokuwa n mungu dada.ubarikiwe...
  12. M

    Alinidanganya, nimuweke katika fungu gani?

    Badae alikr kuwa sio kwel alinidanganya wala huyo alitembea nae hakuwa mganga.
  13. M

    Alinidanganya, nimuweke katika fungu gani?

    Nashukur xana ndg kwa mawazo yako,watu wanadhan kila kinachoandikwa humu n xtor mengne n maisha ya watu jaman!
  14. M

    Alinidanganya, nimuweke katika fungu gani?

    Alinidanganya eti kuwa aliingiliana na mwanaume kama dawa ili apone akapata ujazto, ukweli ni kwamba huyo boy alkuwa jamaawake kwa zaidi ya miaka 6.
  15. M

    Live Updates: Polisi Moro vs Simba

    Smba wanaongoza gol moja
Back
Top Bottom