Boyfriend ana majibu ya dharau

Boyfriend ana majibu ya dharau

Ni utani wa kwaida sana huo. Kama ungekuwa na akili za kujiongeza mngefikia mpaka kweneye "Sex chat". Inaonekana hujui kudeka, unachukulia vitu "Serious" sana. Utapa shida sana.

a man beyond the keyboard!!big up sana,ukitake kila kitu serious utapata shida sana
 
hahaha i cant handle this
nimecheka ki ukweli

ila sina hata cha kukushauri my dear nisamehe hahahaha
 
Katlego Sibeko

Futilia namba zake mbali, utajuta hapo, mimi nipo tayari njoo pm, huyo hajui kumhandle mrembo wa kike, pls njoo mama
 
Last edited by a moderator:
hafai huyoo..akipata pesa ndio utajua tabia zake zingine mbaya..ni wa kumuogopa na hafai hata kusamehewa.
 
Nakuona dada mkarimu naomba namba yako nkushauri.
 
Mi kwa upande wangu sijaona jibu la dharau hapo, ni mtu asiyejua kutumia maneno ya kistaarabu kwenye utani, kuna watu wanadharau bhana!
 
Mrs Sibeko

Kwanza ulipaniki , wewe ndo kwanza umeinitiate utani gafla umenuna...

Pili kama papuchi yako original(used) from germany hukutakiwa kupanic ungetiia dole unuse then umpe jibu muendele kuchat..

Tatu inawezekana kweli ikulu yako inaharufu ndomana imekugusa..

msamehee kijana au utaishia kuampweke daima..

c.red
 
Katlego Sibeko

Inamana mpaka hapo bado tu haujajua kua wewe ni mpango kando wa kutumika tu?mbona inaonesha tu kua jamaa kakuhifadhi kua wa kuzugia tu na hataki kukuachia uende kipoozeo chake!!Young girls jiongezeni aiseee
 
Last edited by a moderator:
Hana adabu alafu atakuwa muuni wa kitaaani! Hajitanbui
 
Futilia namba zake mbali, utajuta hapo, mimi nipo tayari njoo pm, huyo hajui kumhandle mrembo wa kike, pls njoo mama

"mrembo wa kike"!! Hi inaimply kuna warembo wa kiume pia, ati???
 
Inaonesha alikuwa anakutania ila wee ukachukulia kwel.msamehe kwa hlo ila kwa kes ya kukataa ucpajue kwake uckubar chunguza kwa makin kwann.
 
Back
Top Bottom