Niliwahi msikia kiongozi mmoja wa Dini akisema
Mwenyezi Mungu anapokubariki Utajiri unakuwa kama Mti wenye matawi mengi ule mti ulipewa matawi mengi ili wakati wa jua Ndege watakuja kupumzika na watu wataketi chini yako kupata kivuli,sasa usije kukufuru Mwenyezi Mungu akaamua kukukausha au...
[emoji28][emoji28][emoji28]
Swali hili likikolea vichwani mwa wengi nchi itakuwa ngumu kuiishi hii!!
uliza maswali ya kawaida haya fikirishi yanaamsha hisia
Wakiendelea kukuzungua nenda Upareni kwa jirani zako hapo kawapasulie Chungu
Waambie kabisa kama kweli mwanangu hajafa sababu ya kuadhibiwa na mwalimu mimi nakwenda kulilia mababu nitavunja chungu kama hamkuhusika basi hakitawapata ila kama mmhusika sisitaka kikao
Ndo dawa
Hii Haiba yako unayozungumzia umenikumbusha mimi wakati nasoma haiba yangu ilikuwa ya upole mnoo ikitokea kosa nikiwemo ndani Mwalimu anaweza wasamehee wote akiamini ni bahati mbaya
Ila ukweli mimi ndo nilikuwa kiongozi wa magenge yote ya kihuni shuleni,kutoroka kwenda night club,kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.