kaka km
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 1,336
- 681
- Thread starter
- #21
Miaka 7 dalili zingekua zishaanza kuonekana. Uko salama kabisa.Nilishauzaga mechi kipumbavu miaka 7 iliyopita tena kwenye njia ya hatari sana,,
Mpaka leo naikumbuka ile siku,
sjawai pima hiv miaka yote hiyo toka kipind kile ,ila toka ile siku sijawai uza mechi tena,
Kila nikikumbuka ile siku nakosa amani.
But life goes on and am good.