Kujiongeza kuliwabeba sana(akili ya ziada) waliyokuwa nayo ndo iliwapa fursa ya kututawala
Mzungu wa kwanza kufika afrika hata alikuwa hajui anaenda wap akatokea na kujikuta yupo kwenye ardhi yenye rutuba,maliasili za kutisha na kila zuri lipo ndipo akarud kuwambia wenzake kuwa kuna sehemu iko...
Leo nimekubali broo hongera
Umechambua kwa uwezo wako kama kuna mtu hajakisoma hichi kitabu anaeza hisi umekiandika chote
HONGERA MKUU kwa uchambuzi huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.