Recent content by Mkulung

  1. Mkulung

    Wanaume: Mambo muhimu unayopaswa kuyajua kutoka kwa mwanamke unayetaka kuanzisha naye mahusiano

    Nimeipenda ya kujiandaa kisaikrojia, mana hawa c wakuwaamin kabisa.
  2. Mkulung

    Ipo siku mtaukumbuka huu uzi

    26.04.20.....
  3. Mkulung

    Rudi nyumbani, kumenoga - by TTCL

    nimeielewa sana TTCl
  4. Mkulung

    Biashara ya kuuza Pweza

    Nahitaji kuanza biashara ya Pweza, kwa aliyewahi kufanya au anafanya biashara hii tafadhali aniambie niandae shingapi , na anipe njia ya kumdhibiti dogo nitakaye muweka asiniibie. Asanteni.
  5. Mkulung

    Hivi kwanini wake za watu mnajiachia sana kwa kusimuliza ndoa zao hadharani?

    Niende kwenye mada husika, Unakutana na mwanamke hakujui humjui ila mmekutana tu sehemu ya service fulan, baada ya muda anaanza kukusimulia matatizo yake na Mume wake kwa kukutaka ushari, mara ooh Mume wangu anarudi usiku sana amelewa, asubuhi anaondoka haachi hela ya matumizi nk. Hivi...
  6. Mkulung

    Vitu vinavyoharibiwa na wacheza mieleka kama Tv, Meza, n.k. vinalipwa na nani?

    kwa wajuzi wa mchezo huu naamin mtanisaidia hili swali , hivi vile vitu vinavyo halibiwa na hawa wacheza mieleka kama Tv, Meza, n.k. vinalipwa na nani?
  7. Mkulung

    Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

    jamani ila mi nakubali sana Roman kwa kitu kimoja ni mvumilivu sana hapigiki kilahis, mtakubaliana na mimi mlioangalia ile mechi ya Brock na Roman mwaka juz km cjakosea, kama si Setth kuhalibu ile mech lazma Roman angechukua mkanda.
  8. Mkulung

    Flat TV: Nauza tv 43" 650000, nina shida ya haraka

    mi nina hiyo mia nne tu.
  9. Mkulung

    Nauza samsung c7pro.

    simu mkuu
  10. Mkulung

    Nauza samsung c7pro.

    bei ni 550,000/=
  11. Mkulung

    Nauza samsung c7pro.

    samsung c7pro bado iko vizur haijachunika wa haina krek nichek hapa 0738579574.
  12. Mkulung

    Flat TV: Nauza tv 43" 650000, nina shida ya haraka

    Mkuu gris hamna angalia na hali. vip haijachunika chunika
Back
Top Bottom