Recent content by Mkulima Nchini

  1. Mkulima Nchini

    Mawaziri wote walitafuna fedha za ESCROW, Lukuvi na Muhongo vinara

    Hata kama ni hearsay haitabadilisha chochote. Pesa za umma ximetafunwa na tunazihitaji zirudi na wafilisiwe na wafungwe.
  2. Mkulima Nchini

    Kaburi lafukuliwa, Maiti iliyokufa kwa ajali yaibiwa

    Kwa Kagera hayo ni matukio ya kawaida Kabisa
  3. Mkulima Nchini

    Davido ambwaga tena Diamond kwenye tuzo za BET

    Wapi Rais went JK...ahahaaaa wajaribu next time.
  4. Mkulima Nchini

    Hawa hapa viongozi wapya wa CHADEMA tawi la SAUT Mwanza

    Jamani BAWACHA uongozi umekaaje.
  5. Mkulima Nchini

    wazanzibari watofautiana juu ya tathmini ya Warioba

    Wao wakati wanandoa Katibu ya Zanzibar 1985 walitegemea nini? Waswahili wanasema ukila na kipofu usimshike mkono. Na ikipitishwa Komi Shavuot la kushoto mgeuzie na la kulia na Kisha inafuata Zamu yake nae umchape Kibao.
  6. Mkulima Nchini

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Tarehe 12 Machi 2014 - Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum

    I am glad, I am happy. Ninamatumaini na Imani na Samwel Sitta
  7. Mkulima Nchini

    Wanakigoma tunakusubiri mbunge wetu ZZK utuambie chakuifanya CHADEMA na unafiki wake

    Kigoma imetoa wabunge wangapi wa CHADEMA? ZZK alifanya kila jitihada zake ili CHADEMA isishinde huko Kigoma, ila yeye tu ndio apite bila kupingwa! Mwisho wa unafiki siku zote si mzuri sana.
  8. Mkulima Nchini

    Mikakati ya mbunge yamng'oa katibu CHADEMA Ilemela

    Mtoa mada hujui ulisemalo na mada hii umeileta kiumbeambea zaidi. Katibu ilemela smejiuzuku baada ya kuhongwa na CCM akawauzia kadi za Chadema juzi kwenye mkutano wa rais uliofsnyika viwanja vya Furahisha jijini mwanza ili zirudishwe ionekane vijana jijini mwanza wameichoka Chadema. Zoezi hilo...
  9. Mkulima Nchini

    Mikakati ya mbunge yamng'oa katibu CHADEMA Ilemela

    Mchangia mada hujui ulisemalo. Na jiji la mwanza sio la kabila moja tu. Diallo akiwa mbunge ns waziri aliwabeba saana ukoo wake mzima.
  10. Mkulima Nchini

    Je, ni busara serikali kuipatia pesa Precision Air?

    Precision Air is the airline that can not survive in the stiff competition. Just one company existence(fastjet) has removed them from the marke, with their arrogance. Government should rescue ATCL and not PW the private company. Mwambieni Shirima aende Kenya kwa Uhuru Kenyatta akamkomboe.
  11. Mkulima Nchini

    Hali ya hewa yachafuka Mwanza: Polisi wapambana na wafuasi wa CHADEMA

    Kwa kweli kitendo kinachofanywa na Policcm ni kibaya sana. Yaani kwa kweli wamedhihirisha nsmns gani Police wanavyotumika vibaya.
  12. Mkulima Nchini

    Membe kugombea urais mwaka 2015 iwapo...

    Umewasilisha vyema. No comment
  13. Mkulima Nchini

    Membe kugombea urais mwaka 2015 iwapo...

    Muislam hawezi kuwa chaguo la Mungu. Atangoja sana kuupata urais
  14. Mkulima Nchini

    Godbless Lema aanza ziara ya kuteketeza CCM Arusha

    I wish Lake zone to turn like Arusha. Itakuwa ndio maziko ya CCM nchini TZA
  15. Mkulima Nchini

    CHADEMA kila kukicha ni vurugu na maandamano, lini mtafanya shughuli za kimaendeleo?

    Kwani nani alikueleza kuwa Nelson Mandela alikaa tu na kusubiri kuung'oa utawala wa wazungu na kuwa rais ? South africa wameandamana, nini hapa TZA. Jela miaka 27, nini hii yenu magamba. IMEKULA KWENU...
Back
Top Bottom