Recent content by Mkulima mimi

  1. M

    G 8 is now officially G 7. We are back to the Cold war.

    utofauti na hiki ulichokisema cold war ilikuwa inainvolve two polarized ideology russia akiongoza communist block under warsaw pact na usa akiongoza democratic block akiwa allied na NATO, kifupi ni kwamba nchi zote duniani zikawa au on communist block or US led block! ndio wakaja non aligned...
  2. M

    Wachezaji yanga wapigana ngumi live uwanja wa taifa

    watu wa namna hii wala usihangaike nao! ni nadra sana wakatoa michango ya maana! huwasambulia wale wenye mawazo ambayo yanakinzana na wanachoamini sio wanachofahamu maana huwa hawasemi wanajua nini! mara zote hawa watu nawewaka blaclist sioni comment zao mpaka wakiwa quoted
  3. M

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    mkuu@Pasco baada ya kuufuatlia huu uzi hatua kwa hatua naomba nitoe mchango wangu! zamani nilikuwa na mediatate bila kujua ila something happened on the way ni kwamba niliweza kuzi invoke hizi psychic power to the extent niliogopa toka siku hio ikawa last practice! ingawa nilikuwa siijui...
  4. M

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    mods ni wasikivu kuna watu wali hijack huu mjadala wakaanza kulumbania dini! ikawa ngumu kufatilia mjadala thanks kilio chetu kimeakilizwa here we are again tunaendelea na shule!
  5. M

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    samahani baada ya kusoma hili andiko nimetatizwa sana ila naomba nihoji! je wote ambao mmesema kuwa na power mna tatizo la kuamka usiku wa manane kati ya saa nane na nunu mpaka kumi na robo! sio kuamka kabisaa ila unashtuka kutoka usingizini na usingizi unakata and you have to start it again! na...
  6. M

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    mkuu waweza nielekeza lipo pande zipi! samahani kwa usumbufu natanguliza shukrani pia!
  7. M

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    duka gani mkuu natafuta sana hii kitu nipo arusha
  8. M

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    mkuu naomba mimi naweza kuvicovert kwenda kwenye pdf
  9. M

    M23 waua Meja wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) - UN Yalaani!

    natamani uwe na ndugu huko goma! just imagine huyo major ana watoto ambao walikuwa wanamtegemea yeye awasomeshe leo kashafariki afu mtu anakuja na majibu na majibu mepesi hivi! kufa vitani kawaida jamani mungu saidia
  10. M

    setting za tigo internet kwa simu ya android nahitaji wakuu

    getaway IP 10.168.20.80 PPORT 8080 APN-INTERNET/WAP
  11. M

    Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa

    ok mkuu nimekuelewa ila samahani kama nimekukwaza ila hilo nililobold halikuwa lengo langu!! nimeshindwa kuendelea kusoma maana umeanza na mashambulizi wakati sikuwa na intention ya kuanzisha ubishi ila njilikuwa interested na report kama unadhani kuzificha hizo report na kuja na mutsari ndicho...
  12. M

    Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa

    mkuu kama haya unayoyasema umesoma kwenye report mimi naiomba hiyo report au source ya haya maneno yako!! ni maneno mazuri kuyasoma kutoka kwenye chanzo halisi sio kuyasikia!! ntafurahi kama nikipewa hiyo nakala
  13. M

    Zijue Most Powerfull Intelligence Agencies duniani

    ISI – Pakistan With the lengthiest track record of success the best known Intelligence Agency is ISI. The Inter Service Intelligence was formed in 1948 just a year after the independence of Pakistan and it was created in order to strengthen the performance of this newly born country...
  14. M

    Exclusive: Obama Asks Pentagon For Syria No-Fly Zone Plan

    Wakuu mbona mnageuza hili jukwaa la dini!? Hizi dini za kuja na meli mmnazing'ang'ania mpaka mnataka kutoana meno! mbona wote mna argue kutumia vitabu tofauti! Ni makosa kukosoa uislam kwa kutumia biblia pia ni makosa kukosoa ukristu kwa kutumia biblia! pia siwaelewi una-justfy ukristu kwa...
  15. M

    Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

    kabla hajajiunga CHADEMA alikuwa chama gani kwani!?
Back
Top Bottom