Recent content by MKULIMA MBUNIFU

  1. MKULIMA MBUNIFU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tusidanganyane hakuna mwanamke anaeweza kumvumilia aliyefulia

    Kweli kabisa
  2. MKULIMA MBUNIFU

    JamiiForums Tanzania Kuchelewa kwangu kunanitisha sana

    Ujumbe mzito kwake, ni dhambi kukata tamaa kabla hujafa, uhai ni utajiri tosha, kikubwa ni kuongeza juhudi mambo yatakua poa tu.
  3. MKULIMA MBUNIFU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume mliooa jitahidini kutimiza wajibu wenu kadri inavyowezekana

    All in all unapowala kumbuka kwamba mke was mtu sumu.
  4. MKULIMA MBUNIFU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu amekutwa HIV+

    Duh Duh! Hapo lazima alichepuka hakutaka tu kusex na wewe kwa hofu ya kukuambukiza au kuficha sehemu zake za Siri zenye mabaka kwa kuwa alijua ungegundua, pole saana ila okba Mungu mwanao awe mzima tu.
  5. MKULIMA MBUNIFU

    JamiiForums Tanzania Magonjwa 10 yatokanayo na Pombe (hio unayokunywa wewe)

    Ingekuwa hivyo basi Warusi ambao ndo wanaongoza kwa kunywa pombe kali wangekufa saana, Toka enzi za Yesu, Mababu pombe ilikuwepo, sema tu mfumo wa maisha ya siku hizi umesababisha miili ya watu wengi kushindwa kuhimili pombe sababu watu hawafanyi mazoezi kusaidia mfumo wa mwili kutoa sumu na...
  6. MKULIMA MBUNIFU

    JamiiForums Tanzania PSSSF sasa kubatizwa kwa moto

    Wa kulaumiwa ni wabunge wetu ambao ndo wawakilishi wa wananchi kwa kupitisha mswada mbovu kama huu unaoenda kuuwa wastaafu wengi muda mfupi baada ya kuachana na ajira kwa stress za kipato, hata huruma hawana kabisa, lakini pia mchakato wenyewe haukuhusisha wadau ambao ni wajiriwa wenyewe, duh...
  7. MKULIMA MBUNIFU

    JamiiForums Tanzania Uhakiki kwa Watumishi wa Umma kufanyika tena upya

    Hahahaaaa! Inachosha aise! This is too much, badala ya kuhangaika kuboresha maslahi wanahangaika na uhakiki wa kila mara!
  8. MKULIMA MBUNIFU

    JamiiForums Tanzania Je, familia ya Mo inajua kwamba kwa ile bilioni moja wanaweza kuajiri International investigators kwa hiari yao bila msaada wa serikali masaa 1000?

    Wakija huwezi kuwatambua, wale jamaa wana IQ kubwa saana kuliko tunavyodhani, wanaweza kuja kama walimu, watalii, wachungaji, mapadri, wawekejaji, n.k, wale ni habari nyingine kabisa hapana chezea FBI, CIA, KGB, n.k mbele ya mpunga, Satelite images tu zinatosha kumpata MHALIFU MAPEMA!!!
  9. MKULIMA MBUNIFU

    JamiiForums Tanzania Kamba aliyoachiwa Makonda itamning'iniza na itatoa Somo

    Ingekuwa mwingine tungeshasikia Tengua-Teua, Hapa ni double standard tu!!!!
  10. MKULIMA MBUNIFU

    JamiiForums Tanzania Kamba aliyoachiwa Makonda itamning'iniza na itatoa Somo

    Ipo kwa Baadhi ya watu tu!
  11. MKULIMA MBUNIFU

    JamiiForums Tanzania Local channels zaanza kuonekana bure katika Startimes

    Kuhusu AZAM TV vipi nao wameruhusiwa? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. MKULIMA MBUNIFU

    JamiiForums Tanzania Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

    Anajua Hakuna wa Kumgusa kwa Sababu anazojua yeye na alijua TRA watamuogopa kwa kuwa Mtoto pendwa kuliko wote na Mkulu kumbe kuna watu hawataki ubabaishaji kwenye kutekeleza majukumu yao waliyopewa na watanzania hasa kwenye kusimamia sheria! Pongezi nyingi kwa Philip Mpango na TRA, hakuna double...
  13. MKULIMA MBUNIFU

    JamiiForums Tanzania Serikali yatangaza kurudisha vituo vya Tv vya ndani kwenye ving'amuzi

    Waache tu TBC inatosha!!!
  14. MKULIMA MBUNIFU

    JamiiForums Tanzania Si bure lazima huyo dogo ameshachokwa na ni suala la muda tu!

    Ngoma ikilia saana mwisho wake hupasuka, Hakuna malefu yasiyokuwa na ncha, Dogo hapa hatoki, Kwa huruma tu itabidi apewe ubalozi wa kudumu Nchi Fulani maana hawezi ishi Bongo kwa vidonda alivyowaachia baadhi ya Matajiri/Viongozi hapa Bongo, namwonea huruma saana. Alikuwa haangalii future yake!
Back
Top Bottom