hapo cha msingi jiongeze......chukua akil yK ya kuzaliwa changanya na za shulen if una rafiki yak wa kike na ushamsimulia hay mazur unayo tendewa ipo siku mwana si wako........
Habari ndugu zangu.
Mimi kuna msichana tuko naye karibu mpaka inafika hatua ya mi kulala nae kitanda kimoja bila ya kufanya mapenzi anabaki kama just friand.
Sasa naomba ushauri huyu demu ananipenda au nimuache bila kumuambia au nibaki naye kama rafiki naomba ushauri wenu ndugu zangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.