Recent content by Mkude mjita

  1. Mkude mjita

    Nahisi ananipenda lakini jibu ni hapana

    yachukulie mapenz kama udhaif kwako usiyape kipaumbele soma kwa bidii rem ulipotoka cute girl wapo tu ucwe na papara
  2. Mkude mjita

    Simwelewi rafiki yangu anataka nini kwangu

    hapo cha msingi jiongeze......chukua akil yK ya kuzaliwa changanya na za shulen if una rafiki yak wa kike na ushamsimulia hay mazur unayo tendewa ipo siku mwana si wako........
  3. Mkude mjita

    X GIRLFRIEND

    hata nyani akija mjn ipo siku atakumbuka pori lake
  4. Mkude mjita

    Otea nini kitatokea hapa

    *mi naona anachora nairob fly hakuna jipya hapoo
  5. Mkude mjita

    Ananipenda ila ndio haeleweki

    Habari ndugu zangu. Mimi kuna msichana tuko naye karibu mpaka inafika hatua ya mi kulala nae kitanda kimoja bila ya kufanya mapenzi anabaki kama just friand. Sasa naomba ushauri huyu demu ananipenda au nimuache bila kumuambia au nibaki naye kama rafiki naomba ushauri wenu ndugu zangu.
  6. Mkude mjita

    Hivi mtu akifa kwa kuungua moto anaenda mbinguni?

    mule mule if u have a sin kuna mahal pake full stop
  7. Mkude mjita

    Tetesi za Matokeo Kidato cha Nne 2014

    Uwe na subira kama ww ni mmoja wawoo
Back
Top Bottom