Jitahidi usome kwa bidiii, maana nikikusoma katikati ya mistari yako inaonesha dhahiri kwamba, wewe bado mtoto wa kiume na utoto unakusumbua. Piga kitabu mapenzi yapo tu na watoto wazuri utawakuta tu na wengine ndio kwanza mbimba zao ndo zimetunga hivi sasa.
Huenda wewe ni mojawapo ya wanaume walio WAOGA WA KUKATALIWA, kwahiyo unajihisia mwenyewe kuwa anakupenda, inawezekana kweli anakupenda kama rafiki tu lakini kakwambia ana mtu tena hadi kwao kajitambulisha, unataka nini zaidi brother kama sio kudang'anywa na kuumizwa? Kwa uzoefu na maisha ya chuoni ni kuwa hatakama akikukubalia ila utaumia ZAIDI atakapomaliza chuo na kukwambia amerudi kwa mtu wake wa zamani. KUBALI KUKATALIWA SONGA MBELE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.