Nahisi ananipenda lakini jibu ni hapana

Jitahidi usome kwa bidiii, maana nikikusoma katikati ya mistari yako inaonesha dhahiri kwamba, wewe bado mtoto wa kiume na utoto unakusumbua. Piga kitabu mapenzi yapo tu na watoto wazuri utawakuta tu na wengine ndio kwanza mbimba zao ndo zimetunga hivi sasa.
 
Mhahahaa humu ndani bwana mbona nafurahigi tuu nilishaomba nibadilishiwe id kisa hizi comment maana mtu ukiomba A unajibiwa Z
 
Unayajua haya maneno..
1. GENTLEMEN G.P.A
2. DISCONTINUATION (DISCO)
3. REPEAT SEMESTER

Dunia haijui kuhusu experience, inajua kuhusu good performance. Tia akilini haya utanikumbuka siku moja.
 
Anakujal kama rafik yake so ichukulie hvyo utaish kwa amani
 
yachukulie mapenz kama udhaif kwako usiyape kipaumbele soma kwa bidii rem ulipotoka cute girl wapo tu ucwe na papara
 
Huenda wewe ni mojawapo ya wanaume walio WAOGA WA KUKATALIWA, kwahiyo unajihisia mwenyewe kuwa anakupenda, inawezekana kweli anakupenda kama rafiki tu lakini kakwambia ana mtu tena hadi kwao kajitambulisha, unataka nini zaidi brother kama sio kudang'anywa na kuumizwa? Kwa uzoefu na maisha ya chuoni ni kuwa hatakama akikukubalia ila utaumia ZAIDI atakapomaliza chuo na kukwambia amerudi kwa mtu wake wa zamani. KUBALI KUKATALIWA SONGA MBELE.
 
Back
Top Bottom