Kama nilivosema hapo juu, hapa shinyanga kuna soko maarufu sana linaiywa nguzo nane. Kero yangu ni kwamba, hili soko linatiririsha maji machafu yenye harufu kali sana kwenye mfereji wa barabara naomba wahusika wachukue hatu kwani ni kero kubwa lakin pia ni hatari kwa afya ya watumiaji wa soko hili
Siyo masasi tu mkoa mzima wa mtwara umeme ni shida kubwaaa sana sana. Utadhan wameajiri mtu wa kukata umeme tu ni aibu sana alafu hawatoi taarifa hii siyo sawa. Wanafamya chochote na hakuna mtu atawafanya chochote
yaweza kuwa kweli ila ni kutkana na mzngra magum waliyonayo hususan ya maeneo wanayofanyia kaz kwan maeneo mengne kutembea tu ni mazoez tosha...na hususan wale wa vijijin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.