Mbunge amkaanga Kangi Lugola kutetea mashoga; Waziri asema alinukuliwa vibaya

Katib tukumbushane priority ya mzanzibari siyo ushoga bali uharamu au uhalali wa Muungano.Punguza ngonjera.
 
Lugola na yule mwenzake wa mambo ya nje sitaki hata kuwaona,wanatuletea ushoga kwa maneno matamu.
Mungu akupe maisha marefu ewe mbunge wa Zanzibar na wote mnaochukia ushoga.
 
.,......"Nchi yetu ni muungano wa nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar , kwa Zanzibar asilimia 99 ni waislamu na awasapoti ushoga, hivyo mtuombe radhi"


Mbona miaka yote zenji ndo wanafungaga ndoa kabisa kama wenzao wa mombasa na tanga?
 
Kama serikali ina ubavu wa kukataa mashoga waanze kuwapima marinda mabalozi wote wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini...bana wee, tunapokea misaada ya mashoga means tunaunga mkono..Njaa mbaya.
Hakuna haja ya kuwapima wataondoka wenyewe kama WB!
 
Hao wazanzir ndio mashoga wakubwa na wanaoendekeza hizi tabia, nilihadithiwa na mzee wangu mjeda kuna kipindi walikusanya vijana zanzir kuwaleta kwenye jwtz katika kukaguliwa asilimia zaidi ya 70 wakakutwa vitu ni plain hamna marinda plain kabisaaa faza of ze neshen akasema hiiiiihiiii hii
 
Kangi aliyesema mashoga wako salama wakikutana na Lugola aliyesema alinukuliwa vibaya watapigana sana hadi mmoja afe. mlio karibu na hao watu hakikisheni hawakutani ili kuepusha maafa.
Watanzania wengi tu wafuata mkumbo na hatuna muda wa kutafakari lolote. Aidha tukimbilie kupiga makofi au kulalamika. Hii ishu ya ushoga iko hivi: Tanzania kufanya vitendo vya ushoga ni kosa. Narudia tena: Tanzania kufanya vitendo vya ushoga ni kosa. Ni kosa kama ilivyo wizi au makosa mengine. Sasa kwa bahati mbaya sana akatokea kilaza mmoja akatoa agizo apelekewe majina ya mashoga na yakishapelekwa wakamatwe na kupimwa. Hapa ndipo hasa tatizo lilipoanzia na mataifa mengi yakalaani na kutoa vitisho. Ikabidi serikali itoe tamko kuhakikishia ulimwengu kuwa ''mashoga wapo salama''. Kwanini ilitoa tamko la aina hii?: Kwa sababu mbinu aliyotumia huyo kilaza ni mbinu ya mob justice. Ni mbinu ambayo inaacha loop holes kibao kwa mashoga kuadhibiwa huku bila kosa! (kumbuka ushoga siyo kosa bali kufanya vitendo vya ushoga ndiyo kosa). Hata kama angesema apelekewe majina ya wezi bado tu ni kitendo kibaya na kingelaaniwa kwani kungekuwa na victims wengi kwa sababu ya approach iliyotumika. Ni vivyo hivyo inapotekea watu wakajichukulia sheria mkononi kuadhibu wezi bila kuacha sheria kushika mkondo wake. Kwa hiyo ilichofanya serikali ni kutoa tamko kuwa ''hakuna mob justice itakayotumika kuwaadhibu mashoga hivyo wako salama.... mpaka pale watakapokutwa wakivunja sheria''. Hii hali ya kuwa kuwa na sheria za kukataza ushoga ilikuwepo na hakuna lolote lililobadilika kwani itanedlea kuwepo.
 
Watanzania wengi tu wafuata mkumbo na hatuna muda wa kutafakari lolote. Aidha tukimbilie kupiga makofi au kulalamika. Hii ishu ya ushoga iko hivi: Tanzania kufanya vitendo vya ushoga ni kosa. Narudia tena: Tanzania kufanya vitendo vya ushoga ni kosa. Ni kosa kama ilivyo wizi au makosa mengine. Sasa kwa bahati mbaya sana akatokea kilaza mmoja akatoa agizo apelekewe majina ya mashoga na yakishapelekwa wakamatwe na kupimwa. Hapa ndipo hasa tatizo lilipoanzia na mataifa mengi yakalaani na kutoa vitisho. Ikabidi serikali itoe tamko kuhakikishia ulimwengu kuwa ''mashoga wapo salama''. Kwanini ilitoa tamko la aina hii?: Kwa sababu mbinu aliyotumia huyo kilaza ni mbinu ya mob justice. Ni mbinu ambayo inaacha loop holes kibao kwa mashoga kuadhibiwa huku bila kosa! (kumbuka ushoga siyo kosa bali kufanya vitendo vya ushoga ndiyo kosa). Hata kama angesema apelekewe majina ya wezi bado tu ni kitendo kibaya na kingelaaniwa kwani kungekuwa na victims wengi kwa sababu ya approach iliyotumika. Ni vivyo hivyo inapotekea watu wakajichukulia sheria mkononi kuadhibu wezi bila kuacha sheria kushika mkondo wake. Kwa hiyo ilichofanya serikali ni kutoa tamko kuwa ''hakuna mob justice itakayotumika kuwaadhibu mashoga hivyo wako salama.... mpaka pale watakapokutwa wakivunja sheria''. Hii hali ya kuwa kuwa na sheria za kukataza ushoga ilikuwepo na hakuna lolote lililobadilika kwani itanedlea kuwepo.
Nimekuelewa sana Mkuu, sasa kwa nini huyo kilaza kila siku anapewa another chance ya kufanya ujinga mwingine.
 
Niliwahi kusema upungufu wa taarifa sasa ndio wameanza rasmi kuzipanchi na hawa mashoga kukamata na kuadhibiwa itakuwa ni kimya kimya kama season za watu wasiojulikana wanavyocheza movie zao 😂😂😂😂😂
 
Mbunge wa Konde Zanzibar Khatib Hajj, amehoji kauli za serikali ambazo zilikuwa kwa namna moja ama nyingine zikionyesha msimamo laini ama kutokukemea ya ushoga nchini

Mbunge huyo ameshangaa pamoja na utajiri wa Tanzania tulio nao tunashindwa kusimamia mambo tunayoyaamini kisa tunahofia tutanyimwa misaada

Kangi Lugola alisimama na kusema inawezekana alinukuliwa vibaya kwani Tanzania ina sheria tayari ya kuadhibu watu wanaotumia viungo vyao vya mwili kinyume na asili na kuwa Tanzania ni hekalu la Roho Mtakatifu


Tanzania ni HEKALU LA ROHO MTAKATIFU. Hapa tumeweka Waislam na Wapagani pembeni katika umiliki wa hii nchi. Hapo utakuta mibunge ya CCM miislam imepiga makofi kwa nguvu zote. Afu tukisema FiSiem ni Laanakum tunaitwa wachochezi...

Tangu lini nchi hii imekuwa ya kikristo? Tanzania ina dini siku hizi?
 
Back
Top Bottom