Nimesoma habari hii, Raia Mwema la Jana Sept 10, na nimepata kusikia kuwa kwenye bank statement wametajwa Ngeleja, Tibaijuka, Chenge, Maswi, Mujulizi na wabunge kadhaa wa Chadema!
Hapa Watanzania tusikurupuke kujudge na kuwatukana hawa akina Ngeleja, Tibaijuka, Chenge, Maswi, Mujulizi na hao...