Watanzania tujihadhari na wanasiasa feki

Watanzania tujihadhari na wanasiasa feki

Ndugu zangu watanzania ni vizuri tukajihadhali na wanasiasa wanaojalibu kubadili ukweli na kutoa lugha nyepesi nyepesi kwa kuwalaghai wananchi. wanasiasa feki wanadhani watanzania wanaakili kama zao za udanganyifu.

Watanzania inabidi tuseme sasa basi. tunaitaji vitendo na si siasa.

Kweli kabisa. Wako wanasiasa wanadhani watanzania wana akili za udanganyifu na unawajua baadhi yao.
 
Kweli kabisa. Wako wanasiasa wanadhani watanzania wana akili za udanganyifu na unawajua baadhi yao.

Kama Anna Tibaijuka, anajidai hana njaa ya hela ya mboga kumbe yuko frontline kwenye kuhalalisha hela chafu
 
wakuwalaumu ni watz wenyewe,sisi ni wajinga sana tunalalamikia tunapgwa risas wakat bunduki 2mewapa wenyewe na 2nauwezo kuwapokonya,ifikie muda 2fanye maamuz
 
Unataka kututia kichefuchefu. Ni nani kwanza ccm asiye na hawara? Majitu yamejaa ufusika hadi kwenye nywele!. Wewe nani alikuchagulia mke? Utaratibu wa kuona kwako nani alihoji? Wewe utakuwa mwehu bila shaka. Mtasema yote, subirini uchaguzi ujao muone kazi!. Mwenda wazimu!


kwa mfano kiongozi kama huyu anakuwa mzee wa totozi , unafikili atawaongoza akina nani zaidi ya wenyeakili nusu.
 
Back
Top Bottom