Tatizo ni kwamba ndugu zetu Waislamu hawana future plan. Wanaponunua eneo la kujenga msikiti huwa robo au nusu heka ikizid n hekari moja tu. Shule na hospital watajengea wapi? Badilikeni
Hospital ya Rugambwa ipo ktk mkoa wa Dar es salaam, kata ya Ukonga, kitongoji cha mwembe madafu. Hospitali inayomilikiwa na kanisa katoliki jimbo kuu la Dar es salaam. Pamoja na kuboreshwa kwa majengo mazuri ila kwa upande wa huduma ni mbaya.
Mosi; Wafanyakazi mpaka leo hii hawajalipwa mshahara...
Ni Hospitali ya kanisa katoliki iliyopo mkoa wa Dar es salaam kata ya Ukonga, kitongoji cha mwembe madafu. Namna inavyoendeshwa sasa ni kinyume na taratibu za Kanisa na waanzilishi. Mpaka sasa Wafanyakazi hawajalipwa mshahara toka mwanzon mwa november 2013 mpaka leo tareh 09/01/2014.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.