HATA HUKO UJERUMANI KATIKA HISTORIA YAO KIONGOZI WAO MKUU WAKATI HUO ALIITWA ADOLF HITLER KATIKA MATAIFA MENGINE NA WAPINZANI WAKE WA UTAWALA WAKE KATIKA TAIFA HILO WALIMUONA HAFANYI LOLOTE KUISAIDIA NCHI YAKE LAKINI HADI LEO UJERUMANI INAMUONA HITLER KAMA SHUJAA, KUWENI NA SUBIRA NA TUBADILIKE...
1 Nasema ukweli mtupu; nimeungana na Kristo nami sisemi uongo. Dhamiri yangu ikiongozwa na Roho Mtakatifu inanithibitishia jambo hili pia. 2 Nataka kusema hivi: nina huzuni kubwa na maumivu yasiyopimika moyoni mwangu 3 kwa ajili ya watu wangu, walio damu moja nami! Kama ingekuwa kwa faida yao...
Haya mambo hayajawa kamili kimaandishi kati ya bodi ya Wakala wa MCC, angalizo; NAISHAURI SERIKALI YA AWAMU YA TANO IFANYE HAYA;
1. ITOE ELIMU KWA WATANZANIA WOTE WAJITAMBUE NA WRUDISHE UZALENDO KWA TAIFA LAKO NDIO MAANA CHADEMA WALISISTIZA SANA ELIMU ELIMU ELIMU, UNAWEZA UKAWA NA ELIMU ILA...
SAFIIIIIIII SANA BWANA ZITO KABWE KWA KUMKURUPUSHA RAIS ILI ASISINZIE, NDO MAANA KWENYE SUKARI AMEISHA KUJIBU NA HAYO MENGINE YAMEAZA KUFUATILIWA HOPE MAMBO YATAKAA SAWA TUSHIRIKIANE KUMKURUPUSHA AFANYE MAMBO FASTA
tunahitaji mabadiliko, lowasa ni mtanzania kwa nini abaguliwe? Ccm ni wabaguzi ukawa ni wa upendo na amani. Ukawa woyeeeeeeeeeeee mabadiliko ni lazima na mabadiliko ni sisi tujitokeze kuhakiki taarifa zetu kwenye daftari la kudumu la mpiga kura.
tunahitaji mabadiliko, lowasa ni mtanzania kwa nini abaguliwe? Ccm ni wabaguzi ukawa ni wa upendo na amani. Ukawa woyeeeeeeeeeeee mabadiliko ni lazima na mabadiliko ni sisi tujitokeze kuhakiki taarifa zetu kwenye daftari la kudumu la mpiga kura.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.