Recent content by Mkononi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Unawezaje kujua ubora wa sufuria za kupikia?

    Kuna baadhi ya sufuria za kupikia hutoa kemikali wakati wa kupika chakula nakuchanganyika hivyo kupelekea madhara kama kansa kwa mlaji, wajuzi tuwekeni sawa kwenye hili.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Nina matatizo mawili doctor ,1 sehemu ya koo inakwaruza sana nikimeza mate nahisi kuna michubuko ila sikohoi kuna kipindi nilikuwa siwezi kuongea sentensi ndefu nakwama,2 nina tatzo la chest nodules painless hili ni la mda mrefu, naomba kujua tiba yake
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nyumba inapangishwa Kibosho Mweka

    Nyumba ina vyumba 3 sebule, choo na bafu, maji umeme mazingira mazuri ipo Moshi kibosho mweka karibu na chuo cha wanyama pori na ipo pembeni mwa barabara iendayo mlimani Kilimanjaro usafiri wa daladala ni sh 1000 mpaka Moshi Mjini inachukua dakika 20 kufika. Mmwenye kuhitaji tuwasiliane 0682896772
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa watendaji wa vijiji

    Hapana kiongozi nilitaka kujua ili nizifatilie nione inakuaje.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa watendaji wa vijiji

    Thnx kwa kunijuza god bless u
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa watendaji wa vijiji

    Habari zenu waungwana, naomba mnijuze watendaji wa vijijini wanalipwa kiwango gani cha mshahara.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Viongozi wakuu CHADEMA kutikisa nchi leo na kesho

    Safi sana kwa harakati za kuikomboa nchi.
  8. M

    JamiiForums Tanzania ITV kurusha leo live mkutano mkubwa wa CHADEMA Dar

    Asante kamanda kwa taarifa safi.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mhe. Mbowe kutikisa Kyela

    Umesomeka vizuri sana viongozi chukueni hatua tuikomboe kyela iwe na mafanikio kama karatu
  10. M

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema asaini ujenzi wa hospitali ya Mama na Mtoto mkataba wenye thamani dola mil 3.2

    Hongera jembe mafanikio ndio furaha yetu acha waseme si tufanye yetu M4C milele
Back
Top Bottom