Nyumba ina vyumba 3 sebule, choo na bafu, maji umeme mazingira mazuri ipo Moshi kibosho mweka karibu na chuo cha wanyama pori na ipo pembeni mwa barabara iendayo mlimani Kilimanjaro usafiri wa daladala ni sh 1000 mpaka Moshi Mjini inachukua dakika 20 kufika.
Mmwenye kuhitaji tuwasiliane 0682896772
Mmwenye kuhitaji tuwasiliane 0682896772