Mhe. Mbowe kutikisa Kyela

Mhe. Mbowe kutikisa Kyela

Haaaaa haaaa, anajaribu kujishaua eti naye ni Nnyambala! Hatuna watu wajinga wajinga huku Mbeya sampuli za akina Laki so Pesa!
Ahsante mkuu kwa kumpa sure.

Wanyakyusa wamesema Mbowe asipokuja na Chopa watamzomea
 
Mbowe amewasili Tukuyu,ghafla Mji umetaaruki, msafara wake ni mkubwa mno, nimebidi nipaki pembeni kwa muda.wanaelekea katika Ofisi za CDM huko Kiwira Rd
 
Mhe. Mbowe kutikisa Kyela (Mbowe amekuwa mcheza show?)
 
Hapa Tandale sokoni,karibu na Bulyaga, niko uwanjani hapa na makamanda wanakunywa viroba tu
Kweli wewe mwehu, sasa kuna shule inaitwa Tandale? Hujielewi wewe. Kamanda Mbowe tuko naye hapa Kiwira road usawa wa kituo cha maoni Policcm! Hii ndiyo Tokyo gamba wewe kaa pembeni.
 
Kweli wewe mwehu, sasa kuna shule inaitwa Tandale? Hujielewi wewe. Kamanda Mbowe tuko naye hapa Kiwira road usawa wa kituo cha maoni Policcm! Hii ndiyo Tokyo gamba wewe kaa pembeni.

Mwambie mbowe afanye haraka tunamsubiri hapa Tandale anatuchelewesha tunapigwa na jua tu
 
najuta kuondoka kyela last week , molemo umefanya ma.kosa sana kutonijulisha hili jambo maapema
 
Karibu sana Kamanda wa anga Mh. Freeman Mbowe tunakusubiri kwa shauku kubwa sana people's
 
jamani huyu kamanda mi sijawahi kumsikia akiunguruma mkoa wa dodoma niliwahi kumsikia lisu tu akiwa kondoa anatema cheche watu wakaonyesha ari ya mabadiliko kiasi kwamba wakawa wanajilaumu walikuwa wapi siku zote wahusika ebu fanyeni hao makamanda wafike sehem hizo
 
hongera. pia ruvuma na lindi wanamsubiri kwa hamu sana kamanda wa anga..
 
Kyela hakuna kulala kimeelewrka.Naomba wanajamvi mnisaidie Mh Silinde amekaaje jimboni kwake?Natamani nimone tena the commimg binge.

Ahh Mkuu unamzungumzia nan? Sauti ya Simba?

Kati ya wabunge waliomaliza kazi mapema ni huyo Sauti ya Simba, hapa alishapigwa marufuku kupiga mikutano ya hapa na pale. Kazi yake alitoifanya hapa ni ya kupigwa mfano, hatujawahi kuipata tangu kuanzishwa kwa jimbo hili la Mbozi Magharibi (sasa Momba)

Ondoa shaka panapo Uzima Silinde atarudi Bunge hata bila Kampeni...!!!

BACK TANGANYIKA
 
Kyela ni nyumbani. Naomba muwe na msimamo, kumbuka Mwakasumi alipigana sana kuikomboa Kyela lakini mkadanganywa na Mwakipesile na Baadae Mwakyembe. Naomba amueni kuifuta kabisa ccm huko kwetu jamani. Wengine tuko mbali kikazi lkn nafsi zetu ziko nyumbani. Tunapenda Kyela iwe na Sugu wake na Tundu Lissu wake. Jitaidini kuifuta hiyo ccm. Kwetu Junction yaani njia panda Malawi.
 
mkuu amba. nkya sehemu ndogo sana ya mjini kyela iliyobaki kukombolewa ni kijiji cha bondeni , hasa maeneo ya mkibhege club , kuna haja ya kuongeza nguvu maeneo ya mpanda hadi mahakama ya mwanzo mpaka kyerucu ( now kyecu ) ili tufagie kyela yote .
Umesomeka vizuri sana viongozi chukueni hatua tuikomboe kyela iwe na mafanikio kama karatu
 
Back
Top Bottom