Huu ni zaidi ya unyonyaji, yaani unafanya maamuzi ya pesa ambayo si yako, tena maamuzi yenye kumuumiza mwenye mali. Nadhani kuna kasoro sehemu, maana hata wakupaza sauti hatuwasikii katika hili.
Nakumbuka nikiwa shuleni, hii nchi tuliisoma kama mifano ya nchi maskini zaidi duniani. sijui kama bado hali yao iko hivyo ama walishapataga maendeleo.
Asante mkuu nimekuelewa kuhusu kuepuka utapeli, lakini hili la kutuma pesa kwa mtu wa mbali wanadai kuna makato kwenye kamisheni yako mwisho wa mwezi kulingana na thamani ya muamala.
Heshima kwenu wanabodi, naomba kujuzwa ni 'distance' ipi wakala hatakiwi kumtumia au kumwekea mteja pesa(float)? Hili ni suala ambalo linanitatiza sana kwasababu hata ukiwapigia voda wenyewe hawakuambii zaidi ya kukujibu kuwa hutakiwi kumwekea mteja pesa kama hajaja na simu yake. Swali la pili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.