Baba mwenye nyumba yajayo yanasikitisha

Baba mwenye nyumba yajayo yanasikitisha

Aliishia tu kutuambia "alivunja dirisha katoke seminari", hatukuambiwa alivunja dirisha katika harakati za kutoka na nini au alikuwa anakimbia nini!

Leo ripoti ya CAG inabaini zaidi ya sh.bilioni 1,500/ zimetoweka bila ya vielelezo tunashangaa?Haya mambo ya kutokomea " chimbo na mazaga" huenda aliyaanza zamani sana.
!
!
!

Yajayo yatahuzunisha zaidi!
Haaahhaa...sasa mnaambiwa kuwa mtu alivunja dirisha kisha mnashindwa kushangaa"" nijuavyo waliokuwa wana tabia kama hizo wengi wao walikuwa na sifa ya kuvuta bangi"""

leo hii ndio amekuwa baba MZee wa kanisa acha tu akombe sadaka
 
Songoko songoka unacho cheti cha kuzaliwa cha Babu yako lakini?

Ila uhamiaji sidhani kama zimetimia wale.

Shida ya kuweka Makada kwenye utumishi wanatumika hovyo tu, wengi vyeti vya wazazi wao hawana sasa leo unaambiwa leta cheti cha babu na bibi kweli zama za jiwe ni majanga sana.
 
Duuh watu wamechoka si kwa maneno haya
 
wengi mtanidharau kutokana na aviatar yangu lakini watanzania mkae mkijua 2025 hakuna uchaguz wa rais not my worlds
Mmh mkuu tupe zaidi , kutakuwa na nini badala ya uchaguzi
 
Hiyo nyumba ni ya kubomolewa na kuformart familia upyaaaa
 
UNAONAJE UKATO KITABU MKUU KIKAWA KINAFANYIWA UHAKIKI KIDATO CHA NNE
 
Cocochanel,njooo uone wale wanaokulipia kodi ya nyumba wanavyofanywa...fasihi imewainamisha inataka kuwala *!
 
Back
Top Bottom