Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,635
- 218,068
Kufanya kazi Tanzania ni laana
Mkuu akili umepewa na Mungu uitumie. Sidhani kama Mungu atashuka kuwaadhibu wahusika kama unavyofikiri wewePesa zilizoko kwenye mifuko ya jamii ni mali ya wanachama kwa asilimia 100!! Cha ajabu wenye mali hawapewi haki ya kuwa na kauli ya mwisho kwenye hatima ya mali yao hiyo!!!! Mungu atatutetea, hii si sawa hata kidogo, hii si haki hata kidogo!!!!!! Walio nyuma ya kupokonya haki hii Mungu atawashughulikia mwenyewe maana yeye ni mtetezi wa wanyonge!!!!!!!
Hii kwakweli haijakaa vzr, na vyama hivi havina meno vipo vipo tu kutimiza sheria ila si kuwasaidia wafanyakaziIvi vyama vya wafanyakazi havina tofauti na wabunge wa ccm kwa sababu sheria inatungwa na ccm.na inapitishwa na ccm.
Hapa hata wapinzani wagalegale bungeni wengi watapitisha baada ya kugundua hakuna hela ishaliwa na serikali ya ccm.
Mifuko karibuni yote kuna mashimo baada ya kuikopesha serikali na serikali hailipi pesa kwa wakati ni serikali ya mikopo na madeni.
Kwa ufupi PPF ishajifia, Pspf ilikuwa inaelekea ICU, lapf ilibaki kidogo kuelekea huko pia na mwenzake NSSF ndio alibaki kidogo anapumua.
Kuona ivyo wakaanza hakuna fao la kujitoa wameenda weee wakagundua sio suluhu ya matatizo yao kwa sababu hawana hela za kurejesha hata wakikaa hadi miaka 55 au 60 hawataweza kuwalipa watumishi.
La maana wakaona kwanza wapunguze mafao mbali mbali kama ya afya, uzazi nk kwa mchangiaji.
Then wakaona wakikupa 100% ya mafao watafilisika maana serikali hailipi madeni wakaona waje na sheria ya kutoa 25% ili wabaki na 3/4 ya mafao wakulipe waonavyo wenyewe yaani hela ulikuwa unakatwa kwa ziaidi ya miaka 30 bado hawakupi yote na kukaa nayo wao.
Yaani sawa benki wakukopeshe ukae nayo miaka 30 na wewe unaamua namna ya kurejesha utakavyo.
Haya maviongozi ya wafanyakazi ni makada ya ccm ndio maana huyasikii yakisema lolote maana bwana mkubwa wao kawaweka kutimiza matakwa yake.
Wangekuwa ni kinyume chake ungeshasikia wanahitwa kuhojiwa ila kwa kuwa nao wanasubiri uteuzi huwezi wasikia.
Kuna haja ya kujitoa kwenye vyama vya wafanyakazi kila mmoja ajifie kivyake.
Ila CCM NI MUUWAJI
Huu ni msumari lazima upenye tu.Ivi vyama vya wafanyakazi havina tofauti na wabunge wa ccm kwa sababu sheria inatungwa na ccm.na inapitishwa na ccm.
Hapa hata wapinzani wagalegale bungeni wengi watapitisha baada ya kugundua hakuna hela ishaliwa na serikali ya ccm.
Mifuko karibuni yote kuna mashimo baada ya kuikopesha serikali na serikali hailipi pesa kwa wakati ni serikali ya mikopo na madeni.
Kwa ufupi PPF ishajifia, Pspf ilikuwa inaelekea ICU, lapf ilibaki kidogo kuelekea huko pia na mwenzake NSSF ndio alibaki kidogo anapumua.
Kuona ivyo wakaanza hakuna fao la kujitoa wameenda weee wakagundua sio suluhu ya matatizo yao kwa sababu hawana hela za kurejesha hata wakikaa hadi miaka 55 au 60 hawataweza kuwalipa watumishi.
La maana wakaona kwanza wapunguze mafao mbali mbali kama ya afya, uzazi nk kwa mchangiaji.
Then wakaona wakikupa 100% ya mafao watafilisika maana serikali hailipi madeni wakaona waje na sheria ya kutoa 25% ili wabaki na 3/4 ya mafao wakulipe waonavyo wenyewe yaani hela ulikuwa unakatwa kwa ziaidi ya miaka 30 bado hawakupi yote na kukaa nayo wao.
Yaani sawa benki wakukopeshe ukae nayo miaka 30 na wewe unaamua namna ya kurejesha utakavyo.
Haya maviongozi ya wafanyakazi ni makada ya ccm ndio maana huyasikii yakisema lolote maana bwana mkubwa wao kawaweka kutimiza matakwa yake.
Wangekuwa ni kinyume chake ungeshasikia wanahitwa kuhojiwa ila kwa kuwa nao wanasubiri uteuzi huwezi wasikia.
Kuna haja ya kujitoa kwenye vyama vya wafanyakazi kila mmoja ajifie kivyake.
Ila CCM NI MUUWAJI
Inauma sana mkuu, Alafu utakuta mijitu imekazana CCM oyeee!!! Wakat mwngine mtu unajuta kuzaliwa Tanzania.Ivi vyama vya wafanyakazi havina tofauti na wabunge wa ccm kwa sababu sheria inatungwa na ccm.na inapitishwa na ccm.
Hapa hata wapinzani wagalegale bungeni wengi watapitisha baada ya kugundua hakuna hela ishaliwa na serikali ya ccm.
Mifuko karibuni yote kuna mashimo baada ya kuikopesha serikali na serikali hailipi pesa kwa wakati ni serikali ya mikopo na madeni.
Kwa ufupi PPF ishajifia, Pspf ilikuwa inaelekea ICU, lapf ilibaki kidogo kuelekea huko pia na mwenzake NSSF ndio alibaki kidogo anapumua.
Kuona ivyo wakaanza hakuna fao la kujitoa wameenda weee wakagundua sio suluhu ya matatizo yao kwa sababu hawana hela za kurejesha hata wakikaa hadi miaka 55 au 60 hawataweza kuwalipa watumishi.
La maana wakaona kwanza wapunguze mafao mbali mbali kama ya afya, uzazi nk kwa mchangiaji.
Then wakaona wakikupa 100% ya mafao watafilisika maana serikali hailipi madeni wakaona waje na sheria ya kutoa 25% ili wabaki na 3/4 ya mafao wakulipe waonavyo wenyewe yaani hela ulikuwa unakatwa kwa ziaidi ya miaka 30 bado hawakupi yote na kukaa nayo wao.
Yaani sawa benki wakukopeshe ukae nayo miaka 30 na wewe unaamua namna ya kurejesha utakavyo.
Haya maviongozi ya wafanyakazi ni makada ya ccm ndio maana huyasikii yakisema lolote maana bwana mkubwa wao kawaweka kutimiza matakwa yake.
Wangekuwa ni kinyume chake ungeshasikia wanahitwa kuhojiwa ila kwa kuwa nao wanasubiri uteuzi huwezi wasikia.
Kuna haja ya kujitoa kwenye vyama vya wafanyakazi kila mmoja ajifie kivyake.
Ila CCM NI MUUWAJI
Yusuph Singo naye aligombea ubunge Same akashindwa kura ya maoni, kwa sasa ni Mkurugenzi wa michezo, Wizara ya Michezo na Habari. Naye alikuwa Mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi kinachoitwa THTU.Kweli kabisa Tuico hovyo tucta Kuna jamaa anaitwa msigwa alishawahi gombea ubunge kura za maoni ccm iringa Mjini akapigwa chini ndio kawa kiongozi wa tucta
Ivi vyama vya wafanyakazi havina tofauti na wabunge wa ccm kwa sababu sheria inatungwa na ccm.na inapitishwa na ccm.
Hapa hata wapinzani wagalegale bungeni wengi watapitisha baada ya kugundua hakuna hela ishaliwa na serikali ya ccm.
Mifuko karibuni yote kuna mashimo baada ya kuikopesha serikali na serikali hailipi pesa kwa wakati ni serikali ya mikopo na madeni.
Kwa ufupi PPF ishajifia, Pspf ilikuwa inaelekea ICU, lapf ilibaki kidogo kuelekea huko pia na mwenzake NSSF ndio alibaki kidogo anapumua.
Kuona ivyo wakaanza hakuna fao la kujitoa wameenda weee wakagundua sio suluhu ya matatizo yao kwa sababu hawana hela za kurejesha hata wakikaa hadi miaka 55 au 60 hawataweza kuwalipa watumishi.
La maana wakaona kwanza wapunguze mafao mbali mbali kama ya afya, uzazi nk kwa mchangiaji.
Then wakaona wakikupa 100% ya mafao watafilisika maana serikali hailipi madeni wakaona waje na sheria ya kutoa 25% ili wabaki na 3/4 ya mafao wakulipe waonavyo wenyewe yaani hela ulikuwa unakatwa kwa ziaidi ya miaka 30 bado hawakupi yote na kukaa nayo wao.
Yaani sawa benki wakukopeshe ukae nayo miaka 30 na wewe unaamua namna ya kurejesha utakavyo.
Haya maviongozi ya wafanyakazi ni makada ya ccm ndio maana huyasikii yakisema lolote maana bwana mkubwa wao kawaweka kutimiza matakwa yake.
Wangekuwa ni kinyume chake ungeshasikia wanahitwa kuhojiwa ila kwa kuwa nao wanasubiri uteuzi huwezi wasikia.
Kuna haja ya kujitoa kwenye vyama vya wafanyakazi kila mmoja ajifie kivyake.
Ila CCM NI MUUWAJI