Sema last match msimu uliopita maana msimu huu hamjacheza nao hata Mechi Moja,leo ni ya kwanza na marudiano ni Jumapili,leo mtashinda,lakini marudiano kwao patachimbika,weka na msimamo tuone nani yupo kileleni
sasa hivi ni saa 9,nakukumbusha bado masaa mawili ifike saa 11 jioni ili filimbi ya kuingia Selo kulala kupulizwa!!!sasa wewe endelea kuandika UHARO wakati Jenerali wa Mchongo muda mfupi ujao anaenda kulala kwa lazima tena sakafuni
muda ambao unapoteza kuandika UHARO JF ni bora ungeutumia kwenda pale Jela Kisongo kumpelekea Jenerali Uchwara Sabaya Nyembe za kunyolea vuzi na Colgate,ni bidhaa adimu sana Jela
nimesema hata akitoka leo Jela lakini cha moto amekipata,hatakuwa Sabaya yule mwenye kutembea na Msafara na mikwala mingi maeneo mbalimbali ya Arusha,hatakuwa Sabaya yule mwenye kutishia watu ili apate Pesa za hongo za kula bata,naamini hata bikra ya matako watakuwa wameshaikwangua Jela,na hilo...
pambana kuandika UHARO JF wakati mwenzako anakaribia kufikisha miaka miwili Jela,eti alipambana na wauza unga na wakwepa Kodi,wakina nani hao??hebu weka takwimu tuone na sio kuandika habari za kimatako za kusadikika
wauza dawa na wakwepa Kodi wapi bwana hebu acha kumpa sifa za kijinga huyo bwanako,hebu weka takwimu hao wauza madawa na wakwepa Kodi eti aliyewashikisha adabu[emoji1787][emoji1787]hebu acha kutumia akili za matako kuandika UHARO JF
Nasikia alidundwa juzi pale Jela,alikuwa anaoga sabuni ikadondoka akawa hataki kuokota akashughulikiwa[emoji1787][emoji1787]anavuna alichokipanda,kwa akili zako unafikiri Mwenyekiti wa Chama hana huruma??ni kwamba mpaka kuamuru UCHUNGUZI ufanyike dhidi ya huyo Jenerali Uchwara Sabaya ni kwamba...
Nasikia alidundwa juzi pale Jela,alikuwa anaoga sabuni ikadondoka,akawa hataki kuokota akashughulikiwa[emoji1787][emoji1787]anavuna alichokipanda,hakika What Goes Around Comes Around
Wakati unaandika UHARO JF mwenzako yupo Kisongo Jela pale anaumwa na Mbu,hakika What Goes Around Comes Around,na hata akitoka leo hakika cha moto amekipata,naamini hata akiona Kuku Barabarani atapiga magoti na kuiamkia Kuku SHIKAMOO[emoji1787][emoji1787]
kijana,hizo kazi za kwenye Vyombo vya Ulinzi na Usalama sio suala la kuangalia Fani tu,unaweza ukaomba kwa kutumia Cheti cha Form Six na si Degree wanazozitaka wao kwenye Tangazo lao, ukishapata ndio ukiwa ndani ya Ajira utakuja kuonyesha Cheti cha Degree uliyonayo na utakuja kupelekwa sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.