Recent content by Mkongwee

  1. Mkongwee

    Iran: Hakuna mazungumzo yoyote kati ya Tehran na Washington

    Hahahahahahaha vidume vimemnywea viagra demu mla nauli Hakuna kukimbiaaaa, Muajemi kamatia hapo hapoo
  2. Mkongwee

    Mpaka sasa Marekani hajaonyesha silaha yoyote mpya katika vita yake na Iran

    Hahahahahahaha zinaitwa story za vijiweni chini ya muembe au muarobaini wahusika wamekaaa juu ya matairi wanakula mihogo ya kukaanga wakishushia na maji ya kandoroo Hapo ni ujuaji na kudanganyana tuu,
  3. Mkongwee

    Iran yatoa amri ya wakazi wa Telaviv kuhama

    Waajemi mkimalizana na hao wapuuzi njooni na huku jamii forum, kuna wadwanz wengi wamejazana tuu hawana faidaa
  4. Mkongwee

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Muoneeni huruma mtoto wa mungu mnataka apigwaje? Wahuni wanakimbiza mwizi kimya kimya, milio tuu utaskia mara Zele boy awape mbinu za kukabiliana na kamikaze, Mara uingereza katutenga Mara ujerumani njoo
  5. Mkongwee

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Muda si mrefu taulo linatupwa ulingoni Nyani katema bungoo, maji aliyoingia mtu mzima Yana kina kirefuu
  6. Mkongwee

    Ndege tatu za Marekani zatunguliwa kimakosa na Kuwait

    Hahahahahaha bado hawajasema Muajemi kavurugwa anatandika wakuda wooote
  7. Mkongwee

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Natabiri baada ya siku kadhaa za Mapigano upande mmoja utaomba usitishwaji wa mapigano baada ya kupata kile ambacho hawakukitarajia
  8. Mkongwee

    Sijawahi kumuelewa Netanyahu hata siku moja

    D Daaaaaaah umempa elimu kubwa Mbumbumbu wengi huwa wanaamini vita ni kwa ajili ya dini, wajuze vita ni kwa ajili ya maslah ya kiuchumi Ni mjinga na mpumbavu daima huwa anaamini ni ulimwengu huu wanapigana kisa dini
  9. Mkongwee

    Jeshi la Marekani linajiandaa kwa operesheni zinazoweza kuchukua wiki kadhaa nchini Iran

    Kwa hizo sababu ulizoziandika, Iran 🇮🇷 ana haki ya kukataa Sababu ni nchi huru yenye haki ya kujiamulia mambo yenyewe, makombora watengeneze wao akitengeneza yy lawama Nuclear wamiliki wao akimilki yy lawama Ugaidi wafanye wao kuanzia IS mpaka Alqaeda, akifanya yy lawama
  10. Mkongwee

    Inapokuja kwenye operesheni za kijeshi, China ni "Paper Tiger" (Mbwa asiye na meno)

    Binadamu bhanaa, wanatamani waone umwagaji damu wa wachina baada ya kuuzoea wa Manayuni
  11. Mkongwee

    Je, Iran inaweza kugeuza Aircraft Carrier za USA kuwa Shipwreck?

    Uzi huu ulikua mbele ya muda, na muda wake ndo huu umefika Ulichoandika ndicho kinachomuhenyesha Muamerika kwa Muajemi, . kila akipiga hesabu anaona jamaa hawana utani watatia kiberiti mimeli yao
  12. Mkongwee

    Iran yaipa onyo USA!!!

    Uishi milele Uajemii
  13. Mkongwee

    Afrika amkeni: Chuki za kidini ni ufala wa kiwango cha lami!

    Ni upungufu wa akili kumchukia, kumdhihaki, kumtenga, na hata kumdhuru mwenzio kisa imani za kidini... Hizo dini wanazoshabikia zinahimiza upendo, ajabu wao wanahubiri na kueneza chuki kwa wasio imani yao, ss sijui wanamuabudu Mungu yupi wanaepingana nae Mwafrika amka acha kumfanyia...
Back
Top Bottom