Hahahahahahaha zinaitwa story za vijiweni chini ya muembe au muarobaini wahusika wamekaaa juu ya matairi wanakula mihogo ya kukaanga wakishushia na maji ya kandoroo
Hapo ni ujuaji na kudanganyana tuu,
Muoneeni huruma mtoto wa mungu mnataka apigwaje?
Wahuni wanakimbiza mwizi kimya kimya, milio tuu utaskia mara Zele boy awape mbinu za kukabiliana na kamikaze,
Mara uingereza katutenga
Mara ujerumani njoo
D
Daaaaaaah umempa elimu kubwa
Mbumbumbu wengi huwa wanaamini vita ni kwa ajili ya dini, wajuze vita ni kwa ajili ya maslah ya kiuchumi
Ni mjinga na mpumbavu daima huwa anaamini ni ulimwengu huu wanapigana kisa dini
Kwa hizo sababu ulizoziandika, Iran 🇮🇷 ana haki ya kukataa
Sababu ni nchi huru yenye haki ya kujiamulia mambo yenyewe, makombora watengeneze wao akitengeneza yy lawama
Nuclear wamiliki wao akimilki yy lawama
Ugaidi wafanye wao kuanzia IS mpaka Alqaeda, akifanya yy lawama
Uzi huu ulikua mbele ya muda, na muda wake ndo huu umefika
Ulichoandika ndicho kinachomuhenyesha Muamerika kwa Muajemi,
. kila akipiga hesabu anaona jamaa hawana utani watatia kiberiti mimeli yao
Ni upungufu wa akili kumchukia, kumdhihaki, kumtenga, na hata kumdhuru mwenzio kisa imani za kidini...
Hizo dini wanazoshabikia zinahimiza upendo, ajabu wao wanahubiri na kueneza chuki kwa wasio imani yao, ss sijui wanamuabudu Mungu yupi wanaepingana nae
Mwafrika amka acha kumfanyia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.