Bila msaada wa America na mataifa mengine huyo Israel hasimami kabisaa kwa Iran
Anachapwa mapema mnooo, na ndo maana muda woote anatafuta kampani ya wajinga kama Trump
Habari
Tafadhar mwenye wimbo wa "NIKIKUMBUKA UZEE SILALI" umeimbwa Dr Remmy Ongala akiwa na super Matimila
Nautafuta saana huu wimbo maana naendea uzeeni ss
Ndugu yangu mie naitafuta saana Riwaya ya MALAIKA WA SHETANI muandishi Ben R Mtobwa
Muhusika mkuu kama kawaida ni Joram Kiango
Nimeshaenda posta kwa wauza vitabu lkn waaapi
Mitandaoni nakisaka waaapi
Mwenye nacho wakuu tafadhar
Ile simuliz huwa naifanananisha na mgogoro wa Msoga na...
Mwanzoni wakati Iran inatoa tahadhar juu ya huu uvamizi ya kuwa "Dunia isije kuwalaumu kwa kitakachotokea"
lakini pia walisema "Iran ndio itaamua vita itaishaje"
Ukwelii nlikua sijawaelewa ila kwa kinachoendelea ndo naelewa kipi jamaa walikua wanamaanisha
Naamini mashabiki wa vibaka na...
Ama hakika Dunia inakwenda kasi na ya jana si ya Leo
Marekan kageuka kuwa pilipili hoho ukubwa wa buure ila haliwaashi
Na kunakoendea watalitwanga vizuri kabisaa ili lipate somo
Kwa hiyoo wameweka tayari kibaraka wao??
Kauliwa Ayatollah karudi Ayatollah
Akiuliwa kamanda mwenye cheo fasta nafasi yake inachukuliwa na mungine
Vita ni malengo kama vitaisha Leo basi Iran kashinda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.