Recent content by Mkongwee

  1. Mkongwee

    JamiiForums Tanzania Mpango wa Amani na Iran huenda Israel ikasimama Kivyake

    Bila msaada wa America na mataifa mengine huyo Israel hasimami kabisaa kwa Iran Anachapwa mapema mnooo, na ndo maana muda woote anatafuta kampani ya wajinga kama Trump
  2. Mkongwee

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Habari Tafadhar mwenye wimbo wa "NIKIKUMBUKA UZEE SILALI" umeimbwa Dr Remmy Ongala akiwa na super Matimila Nautafuta saana huu wimbo maana naendea uzeeni ss
  3. Mkongwee

    JamiiForums Tanzania Siri ya macho yako ambayo hakuna aliyewahi kukuambia

    Nimesoma mpaka mwisho.. Kongolee nimekuelewa vzr kabisaaa
  4. Mkongwee

    JamiiForums Tanzania Riwaya za Kiswahili ambazo hazitakuja kuandikwa tena

    Ndugu yangu mie naitafuta saana Riwaya ya MALAIKA WA SHETANI muandishi Ben R Mtobwa Muhusika mkuu kama kawaida ni Joram Kiango Nimeshaenda posta kwa wauza vitabu lkn waaapi Mitandaoni nakisaka waaapi Mwenye nacho wakuu tafadhar Ile simuliz huwa naifanananisha na mgogoro wa Msoga na...
  5. Mkongwee

    JamiiForums Tanzania Israel imejenga kituo cha kijeshi cha siri kwenye Jangwa huko Iraq!!

    Hahahahahahaha kiwanda cha siri ila kijana wa gwata ndani ndani huko visezi na Pakistani mtete na mwalivundo anaijua hiyo sirii...
  6. Mkongwee

    JamiiForums Tanzania Mfereji wa Hormuz: Rais wa Marekani ahairisha oparesheni ya kusindikiza manowari za biashara

    Mwanzoni wakati Iran inatoa tahadhar juu ya huu uvamizi ya kuwa "Dunia isije kuwalaumu kwa kitakachotokea" lakini pia walisema "Iran ndio itaamua vita itaishaje" Ukwelii nlikua sijawaelewa ila kwa kinachoendelea ndo naelewa kipi jamaa walikua wanamaanisha Naamini mashabiki wa vibaka na...
  7. Mkongwee

    JamiiForums Tanzania Marekani yashambuliwa na Jeshi la Wanamaji la Iran ambalo inadaiwa liliangamizwa

    Ukwelii mtupuu huu
  8. Mkongwee

    JamiiForums Tanzania Iran yaumizwa na Total-Blockade ya Marekani yaomba mazungumzo!!

    Muanzishaji wa hizi mada daima huwa naamini kichwani kwake umeme ni mdogo mnooo
  9. Mkongwee

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya Yesu na ancestors wetu ni nani aliteseka zaidi kwa ajili yetu?

    Hapo ni vitu viwili tofauti Kuna uhalisia na hekaya, daima vitu hivi havifanani
  10. Mkongwee

    JamiiForums Tanzania Marekani yarupia macho njia ya baharini ya Bahari Nyekundu ya Eritrea

    Kweliii Iran vidumeee
  11. Mkongwee

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na Waziri wa Mambo ya nchi za nje wa Israel waomba radhi!!

    Kwa hiyoo muokozi kachezea nyundo moja tuu ya utosi, ....chaaaaali
  12. Mkongwee

    JamiiForums Tanzania China yatoa onyo la mwisho kwa Marekani

    Ama hakika Dunia inakwenda kasi na ya jana si ya Leo Marekan kageuka kuwa pilipili hoho ukubwa wa buure ila haliwaashi Na kunakoendea watalitwanga vizuri kabisaa ili lipate somo
  13. Mkongwee

    JamiiForums Tanzania Hakuna jipya chini ya jua: Kinachomkuta Maekani nchini Iran kiliwahi wakuta watangulizi wake

    Daaaaaah unatoa darasa zito kwa vijana fuata mkumbooo
  14. Mkongwee

    JamiiForums Tanzania Vita kusimama muda wa siku 45

    Kwa hiyoo wameweka tayari kibaraka wao?? Kauliwa Ayatollah karudi Ayatollah Akiuliwa kamanda mwenye cheo fasta nafasi yake inachukuliwa na mungine Vita ni malengo kama vitaisha Leo basi Iran kashinda
Back
Top Bottom