Uko sahihi
Kwa kukazia tuu, wabongo wengi imani za kidini zimewafanya wamekuwa wajinga, ndo maana wengine wanatapeliwa kwa kutajiwa neno dini au Mungu
Vita ni uchumi, watu au mataifa yanaingia vitani kwa ajili ya maslahi yao ya kiuchumi, ila huku kwenye walevi wa kidini wao chapchap...