Nafasi ya kumpata huyo Dicteta tutaipata iwapo tutachangua mtu mwingine awe Rais. Hebu niambie Kikwete ambaye amemchagua huyo Ndullu amekaa kimya halafu eti anataka Kipindi cha pili. Atatufanyia nini? Kama si kuongeza wafujaji wa mali tena.
Hivi majuzi tumeshuhudia mpango wa vodacom wa kuchangisha fedha kutoka kwa wananchi kwaajili ya maafa. Sioni kama ni jambo baya lakini kwa mtazamo wangu hawakupaswa kuchangisha wenyewe kama vodacom.
Vodacom kama vodacom inapaswa kuwachangia wananchi sawa na mwananchi mwingine ambaye wanamuomba...
Tatizo la nyumba sio la Benki kuu peke yake. Watanzania wangapi wanapanga? Hawana uwezo wa kujenga nyumba. Na inawezekana kabisa kuna watanzania wengine wenye uwezo wa kufanya kazi Benki kuu lakini kwasababu nafasi hazitoshi na sio wote tutapata nafasi Benki kuu. Serikali ilitakiwa kuanzisha...
Nimekuwa nikiangalia baadhi ya habari na imenisikitisha sana Uamuzi wa Gavana wa Tanzania kutumia fedha nyingi kukarabati/kujenga nyumba ya kuishi YEYE. Yaani kupewa tu nafasi hiyo anataka aishi nyumba ya kifahari. Je alikuwa wanaishi kwenye nyumba ya kifahari kabla ya kupewa cheo hicho...
Vangi... hayo yote uliyoyataja alitakiwa kuyafanya. Si aligombea Urais mwenyewe na kuahidi kuwatumikia wananchi? Kwa kupewa nafasi ile alitakiwa ayafanye hayo yote... tena inawezekana kuna sehemu nyingine amezembea. Lakini ukiangalia upande wa pili wa shilingi alienda kufanya pia na yale ambayo...
Mimi nina wasiwasi CCM au JK Mwenyewe amempa tenda huyu jamaa aandike kujaribu kuwasafisha lakini ukweli unabaki pale pale na UOZO WA CCM na viongozi wake unaonekana. KWANINI TUWACHAGUE TENA? Mkome kabisa!!!! Ondokeni madarakani tunataka nchi iendelee na sio baadhi ya watu wachache wa CCM.
Wajameni, Pamoja na kuvurunda serikali na mawaziri wake, hii ni pamoja na baadhi ya kauli za viongozi zinazotetea mafisadi... nimuweke JK kwenye nafasi gani? Hii inaonyesha moja kwa moja kwamba na yeye ni fisadi na anashirikiana na mawaziri wake kutetea usifadi. Sio lazima kugombea kipindi cha...
Habari wakuu, Naomba tujaribu kukitathmini Chama cha Mapinduzi, Mimi nakipa 0% Kwasababu toka kimeanza ni miaka chungu nzima na hakikustahili kuwa hapa kilipotuweka. Toa tathmini yako kwa asilimia na toa sababu.
49. Anachagua viongozi kiuswahiba. 48. Ameshindwa kuwaajibisha mafisadi 47. Ameahidi uongo "maisha bora kwa kila mtanzania" 46. Anawatumikia watu wa nje ya nchi yake badala ya kuwatumikia wananchi ndiyo maana anasafiri nje ya nchi mara kwa mara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.