Recent content by MkombozM

  1. MkombozM

    Binti Mwingereza aliyemwagiwa tindikali Zanzibar aapa kurudi tena mwakani

    you will sentenced to JAHANNAM for life time
  2. MkombozM

    Live: Mansour Himid , Dk Slaa na Hassan Moyo

    Hata nyerere alivaa kofia kuwazuga waislam lakini alichowafanyia leo hii wakilalamika wanapigwa risasi.staili yao yakinyonga tumeistukia,tatizo lao hawana nia njema na waislam wanaafiq.
  3. MkombozM

    Dr. Ndalichako katika mahojiano na waandishi wa habari. Aonya wanasiasa wasiingilie mitihani

    Sio ndalichako kama yeye bali ni mfumo uliojipanga na kujidhatiti kufanya hayo toka enzi ya msanii JK.wanafuraahi kujazana wao kwa wao sector zote serikalini.
  4. MkombozM

    Edwin Mtei; CHADEMA ni waasisi wa Uliberali Tanzania

    Mtei ndo yupi au yule aliyesema tume ya katiba imejaa waislam wengi?kama mawazo yake ndo hayo tunategemea nini chadema?Laiti wanzanzibar wangejua wanavyochukiwa na huyu bwana,wakiingia ikulu watawafyeka zaidi ya yule fisadi mkuu mwaka 2001.mungu tubariki na utulinde na madhwalimu.
  5. MkombozM

    Kikwete: Nataka kurithiwa na rais kijana!

    Tatizo lenu si mzanzibar bali ni muislam.Tumeshawajua mmezoea upendeleo wa kilakitu hivyo mnahofu labda atatenda HAKI.Mmemtisha kikwete mpaka kashindwa kutenda haki kaendeleza upendeleo.Mungu anawasubiri kwa hamu mtaona.
  6. MkombozM

    Ushauri: Dr W Slaa bado unahitaji wanawake

    utatetea hata upumbavu.au mchungaji anaruhusiwa kuzini?urahisi wadini wapumbavu huukimbilia,ugumu wa dini werevu hutafakari.
  7. MkombozM

    Napinga uteuzi wa Prof. Sifuni Mchome kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu

    matunda yaNECTA na VYUO VIKUU kuwabeba watoto wamfumo ndo haya.Lakinini kwanini Prof Sifuni
  8. MkombozM

    Napinga uteuzi wa Prof. Sifuni Mchome kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu

    Mi nahisi kama kawaidayao yakubebana ktk Elimu.Mipango ya NECTA na VYUO VIKUU katika kuubeba mfumo.pumba kamahizi chuo kikuu?jamani,jamani,jamani.lakini pia najiuliza kwanini pumbahizi kwa Prof Sifuni?
  9. MkombozM

    Prof. Lipumba aitaka Mahakama ya Kisutu kumfutia Ponda Mashitaka ya Uchochezi

    Nyie mlianza kuonesha udini pale mlipomnyima kura 1995 na 2000.na sasa mnataka waislam waichague CDM yenu haiwezekani.kila mtu apigie kura chama chake.
  10. MkombozM

    Prof. Lipumba aitaka Mahakama ya Kisutu kumfutia Ponda Mashitaka ya Uchochezi

    Inaonekana we unafuta dini kibubusa sana.Yesu ananafasi ya utume kwawaislam hata yeye mwenyewe anajua hivyo.Mungu kajitahidi sana kaleta mitume jumla 124,000,vitabu4,binadamu kiumbe pekee duniani mwenyeuwezo mkubwa wa kufikiri kwalengo kuu moja tu,watu wasipotoshwe kuhusu mungu mmoja ili...
  11. MkombozM

    Sheikh Ponda Issa Ponda SIYO Mtanzania....

    Haijapata kutokea yakua mtu anamtakasa mungu kutokan na shirki na akatetea hakhi za wanyo'nge ila atauwawa ama kuteseka.Paulo aliwauwa watu ktk masinagogi(MISIKITI) na akawashurutisha kukufuru(kua makafiri kama yeye) soma waraka wa paulo.Kama si mwislam mwenyeimani lazima ushabikie hilo...
  12. MkombozM

    Waziri wa zamani (Kilontsi Mporogomyi) sasa kumtumikia Mungu kama Askofu Mkuu!

    Jamani sisi mtatupiga risasi sana lakini nawaombeni tusiite uchochezi pale unaposikia jambo tofauti naimani yako,ndo maana muovu anapanda magugu katikati ya ngano.
  13. MkombozM

    Waislam wakutana Mwembeyanga na kuazimia kuinyima kura CCM 2015

    kwani chadema na CUF kipi kilianza kua chama kikuu chaupinzani?kwanini mnalazimisha waislam wachague chama kikuu chaupinzani hali nyinyi wakristo mlimkataa lipumba kwa uislamwake pale kilipokua na nguvu mkakidhoofisha?sikuzote nyinyi ndo mnaanza kila baya waislam hayohayo...
  14. MkombozM

    Mbatia: Milio ya kupoea simu yenye ujumbe wa kidini isitishwe mara moja

    Serikali wenyewe ni wanaaaaaaaaaaaaaaaafiq wakubwa.Mtu mwenye akiri akiongea upumbavu kwa wenyeakiri wenzake amewadharau.Wanadhani sisi hatuoni au atusikii kwaya ofisi za serikari.Weka qur'an alafu ukiendelea nakazi we umetoka kwakina Pinda.Serikari ikikomesha upumbavu huu huo umoja wasisubiri...
  15. MkombozM

    Mbatia: Milio ya kupoea simu yenye ujumbe wa kidini isitishwe mara moja

    HEHEHE Ilunga naye anaitwa gaidi,Mfumo kweli ni hatari Mmmmh.Aaaaah kumbeeee aligusa mfumo pale alipotoa CD isemayo BAKWATA ni tawi la KANISA!!!!!.Mfumo huwezi kumwacha amegusa ukweli.
Back
Top Bottom