Acha umalaya baki njia kuu michepuko sio dili
Ebu achana na uyo mchepuko ulienae kwa sasa hamu ya mumeo itakuja tu ila ukiendelea na uyo mchepuko hamu ya mumeo hutokua nayo na bado ndoa yako utaiweka matatani
Afu pia kua na huruma na watoto wako 3 iv ndoa ikivunjika hao watoto watakua na kuishi...
Akunaga kitu kipya wala kizee ata iyo namba E ipo sku itakua nzee sa km ni unyonge ni kununua gar jipya kla namba mpya ikitoka iyo itakusaidia kuondoa unyonge,
Ila suala la kuuza gar nazan nyie wauza magar ndo muanze kutoa ushauri na elimu ya kutosha kwa wateja wenu wajue usajir sio ubora wala...
Wacha kuleta polojo ebu twambie kwanza ww uko ktk sekta gar ya utalii
Hotel and lodge, tourist camp, usafilishaji, bank au bureau change, tour guide nk
Sio unaongea pumba zako wakat hao watalii unawaonaga na kuwasikia kwa taarifa ya habari au wakipita kwenye magari
Ebu waulize walioko kwenye...
Watoa takwimu acheni kuandika vtu why usituprintie bank statement ya kuonesha ivyo
Au why msitupigie pic ule mfumo wa mishahara sjui ndo inaitwa salary structure mm sio mwajiliwa sjui inaitwaje
Unaniambia mwalimu analipwa lk 7 kwa mwezi ila ukiwaangalia mtaa maisha yao weng ni magumu...
Akuna nyimbo za dini zote ni nyimbo za kidunia na zmeimbwa na wahuni na maraya tu
Waimbaji wanavaa modo wanavaa vimini na wao wanacharge mtu kuangalia shoo yao na bado kuna wengne wanalilia pesa za mirabaha za basata kwaiyo hao ni wasanii km walivyo wasanii wengne na ndo maana wanamatendo km ya...
Dini na madhehebu yako meng na kla mtu anasheria na taratibu zako so ni maamuzi yako km mtafta uduma kuchagua wapi utapata uduma akufai achana nae sio unakuja apo kumponda na kumfanya aonekane mbaya
Sizan km unahaja ya kulalamika heshima inatokana na sekta uliyopo
Watu wakekua wakizarau walimu je ni kwa sababu ni maskini au kwa sababu ya maslai madogo hapana ila ni sekta waliopo kuna walimu wanamagari wana majumba kibao na wanasoma watoto private school ila bado wanazarauliwa
Sasa ww ata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.