political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,807
- 5,861
Mashabiki mbalimbali wameanza kumtupia lawama muwekezaji MO dewji kuwa yeye ndie anawarudisha nyuma na wala siyo wachezaji wa benchi la ufundi..
MO ameshawaona mashabiki wa simba ni mazwazwa akiona timu inafanya vibaya anasusa..ikifanya vzuri anarudi yani anawachezesha vile anavyotaka yeye..Kwanini asijitoe tu timu imemshinda????
Mala atoke kimya kimya.
Mala aingie.
Mala AENDE kwenye NGUMI.
HUYU HUWA ANARUDI TIMU IKIWA NA FEDHA TUNAOMBA ATUPISHE.
Wanapiga tu kelele hakuna wanachoelewa, ngoja siku akiondoka wataelewa. Huwezi kutenganisha mafanikio ya Simba kimataifa na MOHao mashabiki wanajua mshahara wa chama kwa mwaka kwel
Kwa brand ya simba ilivyo akiondoka MO tutafika mbali sana ivi ni Tajiri gani asiyeitaka simba apa Tanzania na Africa kwa ujumla timu yenye fanbase kubwa apa Africa mashariki..asepe tu uyo kanji.Wanahela hata ya kufikisha timu mtwara au wanalishwa matango pori na kingwangwala? Mtamkumbuka Sana babra, mlimpiga vita kuwa anathibiti fedha za kuwapa " wazee wa timu" na wavivu wengine wanaotegemea timu kuishi mjini
Ayo ni mawazo ya kitoto kwa fanbase na ukubwa wa simba ni Tajiri gani asiyeitaka..Hao mashabiki wanajua mshahara wa chama kwa mwaka kwel
Mo kanjanja tu asepeWanapiga tu kelele hakuna wanachoelewa, ngoja siku akiondoka wataelewa. Huwezi kutenganisha mafanikio ya Simba kimataifa na MO
Mtwara mbali kote huko?Wanahela hata ya kufikisha timu mtwara au wanalishwa matango pori na kingwangwala?
Huu uhuni Una madhara Makubwa Kwa Simba. Unaweza kudhani ni Jambo dogo Mtu kutoa fedha kusajili na kulipa mishahara Kwa mapenzi tu. Mwingine anasema timu iliingia robo fainali na kupata fedha za kutosha bila kueleza kwamba fedha hizo hizo zilitumika pia kuendesha timu ikiwemo gharama za usafiri na malazi. Leo mnamuona Mo Dewji hafai, lakini chini yake ndo Simba amekuwa Simba.Mashabiki mbalimbali wameanza kumtupia lawama muwekezaji MO dewji kuwa yeye ndie anawarudisha nyuma na wala siyo wachezaji wa benchi la ufundi..
View attachment 2615352
Pumbavu kwani yeye Mungu?Hivi ninyi Washabiki wa Simba Mo akiondoka si tunarudi kule kwa kwa Kaduguda kununualia wachezaji Chapati huku Yanga wanatesa na Manji wao.
Ngoja siku akitoka mtamkumbuka sana, hata yeye anatamani kuondoka timu uswahili mwingi na kuendekeza makundi na kutaka upigaji.