Haki ya mtu haipotei, unamambo mawili ya kufanya, kwanza mfungulie kesi ya madai kudai kiasi kile ulichomkopesha, nakwakuwa yeye anajifanya mjanja, hata km alikurudishia mili 1 kama hakumuandikishiana, wewe kadai zote mil 2.
Njia yapili nenda kituo cha polisi kamfungulie kesi ya jinai ya...