Hon Mizengo P. Pinda amua moja, kusuka ama kunyoa

Hon Mizengo P. Pinda amua moja, kusuka ama kunyoa

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,309
Reaction score
15,289
Ukimya wa Kada maarufu wa Chama cha Mapinduzi na Waziri mkuu wa Tanzania, Mh Mizengo Peter Pinda unaibua tafrani ndani na nje ya chama.

Mh Pinda Hakuweza kuonekana katika tukio muhimu la chama la uzinduzi wa Kampeni ya CCM. Hali ambayo ilizua maswali, ni vipi mtu kama yule anakosekana pale.

Mzee wetu, tunakusihi ufanye uamuzi mapema kabla Dirisha la usajili la UKAWA halijafungwa. Tunajua kuna udhalimu ambao umeugundua ndani ya Chama chako, basi ni vyema kuamua mapema.

Tunajua kwamba uko na mwenzako ambae naye pia yuko katika dimbwi Zito la Mkanganyiko. Nakushauri puuzia vitisho vya aina yeyote na uanze safari na ukurasa mpya wa siasa.

Watanzania wanamatumaini makubwa sana mabadiliko ambayo yanatarajika kufanyika hapo Oktoba! Si vibaya nawe ukawa sehemu ya hili tukio muhimu la kihistoria.

Karibu sana katika mezani yetu na pia shiriki nasi kuwaletea watanzania mabadiliko yaliyo shindikana kwa miaka 53 iliyo pita.

-Mzalendo.
 
UKAWA hamjakoma kuchukua viongozi wa CCM?nawashauri na naendelea kuwashauri. KUchukua viongozi wa chama mnachotaka kukitoa madarakani sio njia sahihi ya kuwaeleza watanzania kuwa mnaweza na mna njia mbadala. la sivyo yatatokea ya SUMAYE kuja UKAWA na kusema kaja kuwasaidia kuongoza.

ushauri wa bure kabisa. Mjiamini kuwa mnaweza bila msaada wa CCM.
 
Pinda yupo nchini, leo alikuwa kijijini Kwake msidanganye watu..... Pinda na Mwandosya ni siku tu zinahesabika
 
Ukimya wa Kada maarufu wa Chama cha Mapinduzi na Waziri mkuu wa Tanzania, Mh Mizengo Peter Pinda unaibua tafrani ndani na nje ya chama.

Mh Pinda Hakuweza kuonekana katika tukio muhimu la chama la uzinduzi wa Kampeni ya CCM. Hali ambayo ilizua maswali, ni vipi mtu kama yule anakosekana pale.

Mzee wetu, tunakusihi ufanye uamuzi mapema kabla Dirisha la usajili la UKAWA halijafungwa. Tunajua kuna udhalimu ambao umeugundua ndani ya Chama chako, basi ni vyema kuamua mapema.

Tunajua kwamba uko na mwenzako ambae naye pia yuko katika dimbwi Zito la Mkanganyiko. Nakushauri puuzia vitisho vya aina yeyote na uanze safari na ukurasa mpya wa siasa.

Watanzania wanamatumaini makubwa sana mabadiliko ambayo yanatarajika kufanyika hapo Oktoba! Si vibaya nawe ukawa sehemu ya hili tukio muhimu la kihistoria.

Karibu sana katika mezani yetu na pia shiriki nasi kuwaletea watanzania mabadiliko yaliyo shindikana kwa miaka 53 iliyo pita.

-Mzalendo.

Mmekosa mvuto kwa hao wote waliohamia leo mnambembeleza Mhe Pinda aje kuwaokoa! Ukawa choka mbaya!
 
Huko kwenu mmekosa viongozi poleni. Bado mnaendelea kuvizia viongozi kutoka CCM

Kama Mzee Mwinyi alivyosema hao ni CCM B. Msije kulia baadae.

CCM Hoyeeee!!!

Queen Esther

l
Ukimya wa Kada maarufu wa Chama cha Mapinduzi na Waziri mkuu wa Tanzania, Mh Mizengo Peter Pinda unaibua tafrani ndani na nje ya chama.

Mh Pinda Hakuweza kuonekana katika tukio muhimu la chama la uzinduzi wa Kampeni ya CCM. Hali ambayo ilizua maswali, ni vipi mtu kama yule anakosekana pale.

Mzee wetu, tunakusihi ufanye uamuzi mapema kabla Dirisha la usajili la UKAWA halijafungwa. Tunajua kuna udhalimu ambao umeugundua ndani ya Chama chako, basi ni vyema kuamua mapema.

Tunajua kwamba uko na mwenzako ambae naye pia yuko katika dimbwi Zito la Mkanganyiko. Nakushauri puuzia vitisho vya aina yeyote na uanze safari na ukurasa mpya wa siasa.

Watanzania wanamatumaini makubwa sana mabadiliko ambayo yanatarajika kufanyika hapo Oktoba! Si vibaya nawe ukawa sehemu ya hili tukio muhimu la kihistoria.

Karibu sana katika mezani yetu na pia shiriki nasi kuwaletea watanzania mabadiliko yaliyo shindikana kwa miaka 53 iliyo pita.

-Mzalendo.
 
UKAWA hamjakoma kuchukua viongozi wa CCM?nawashauri na naendelea kuwashauri. KUchukua viongozi wa chama mnachotaka kukitoa madarakani sio njia sahihi ya kuwaeleza watanzania kuwa mnaweza na mna njia mbadala. la sivyo yatatokea ya SUMAYE kuja UKAWA na kusema kaja kuwasaidia kuongoza.

ushauri wa bure kabisa. Mjiamini kuwa mnaweza bila msaada wa CCM.

Mimi nilishangaa ile kauli ya kuwasidia uongozi ukawa...miaka zaidi ya 18 ya vyama vingi bado unavizia viongozi wanaokatwa afu unawapa madaraka unashindwa kuwaamimi makada uliowatengeneza
 
Wewe unaota kweli, toka lini Mtoto wa Mkulima Pinda ana ushirika na mafisadi na majizi yaliyoweka kichaka chao UKAWA?Pinda hawezi kuungana na hao wezi wenu.Hao watakutana na mahakama maalum ya Magufuli.

Wait kwani Pinda ni wa Kaskazini?maana nasikia inaundwa timu ya Kaskazini..Mbowe,Lowassa,Mbatia na Sumaye

Wait kwani Pinda ni Mlutherin?maana nasikia huku kuna timu ya WaLutheri...Mbowe,Lowassa,Mbatia na Sumaye

Sasa Pinda anakosa hizo sifa tatu muhimu, kwanza sio fisadi, pili sio Mkaskazini na tatu sio Mlutheri.
 
Moyo wa mtu ni kichaka huwezi kujua analofikiria na analotaka kuamua. Kama kuna kitu kinachoniumiza moyo ni kitendo cha waziri mkuu Pinda na makamu wa Rais kutumikia serikali yao na Taifa kisha zawadi unayokuja kupewa na boss wako ni kukatwa ktk hatua za kamati ya maadili. Tafsiri yake ni kwamba Dr Gharib na Pinda utumishi wao ktk Taifa juu ya uadilifu ni wa kutilia shaka kwa jamii.Kana kwamba haitoshi wakaitwa waliochujwa ktk mchakato ni makapi. Sasa waende Jangwani wakaeleze nini. Inauma sana ukizingatia alilia bungeni na kukusanya pesa kutoka halmashauri akiwa na matumaini ya kupitishwa. Chezea kikwete weye huyo ni Golbachev wa iliyokuwa Soviet.
 
Wewe unaota kweli, toka lini Mtoto wa Mkulima Pinda ana ushirika na mafisadi na majizi yaliyoweka kichaka chao UKAWA?Pinda hawezi kuungana na hao wezi wenu.Hao watakutana na mahakama maalum ya Magufuli.

Wait kwani Pinda ni wa Kaskazini?maana nasikia inaundwa timu ya Kaskazini..Mbowe,Lowassa,Mbatia na Sumaye

Wait kwani Pinda ni Mlutherin?maana nasikia huku kuna timu ya WaLutheri...Mbowe,Lowassa,Mbatia na Sumaye

Sasa Pinda anakosa hizo sifa tatu muhimu, kwanza sio fisadi, pili sio Mkaskazini na tatu sio Mlutheri.

mahakama hiyo itaanza na jk
 
Huyu Straika hata tukimchukua hana madhara kama Donald Ngoma wa Yanga!
Huenda awe anapiga Faulo au Penalt jinsi JK alivyo cheza rafu ESCROW!
 
Ukimya wa Kada maarufu wa Chama cha Mapinduzi na Waziri mkuu wa Tanzania, Mh Mizengo Peter Pinda unaibua tafrani ndani na nje ya chama.

Mh Pinda Hakuweza kuonekana katika tukio muhimu la chama la uzinduzi wa Kampeni ya CCM. Hali ambayo ilizua maswali, ni vipi mtu kama yule anakosekana pale.

Mzee wetu, tunakusihi ufanye uamuzi mapema kabla Dirisha la usajili la UKAWA halijafungwa. Tunajua kuna udhalimu ambao umeugundua ndani ya Chama chako, basi ni vyema kuamua mapema.

Tunajua kwamba uko na mwenzako ambae naye pia yuko katika dimbwi Zito la Mkanganyiko. Nakushauri puuzia vitisho vya aina yeyote na uanze safari na ukurasa mpya wa siasa.

Watanzania wanamatumaini makubwa sana mabadiliko ambayo yanatarajika kufanyika hapo Oktoba! Si vibaya nawe ukawa sehemu ya hili tukio muhimu la kihistoria.

Karibu sana katika mezani yetu na pia shiriki nasi kuwaletea watanzania mabadiliko yaliyo shindikana kwa miaka 53 iliyo pita.

-Mzalendo.

Ameshapiga mpunga wake ameridhika. Unajua mshahara wa Waziri Mkuu wewe plus Marupuru, safari na vitu vingine. Mi nashangaa hawa ambao bado wanahangaika majukwaani kujifanya wao wana machungu na nchi, wakati walishakula vya kutosha. Watu hawaridhiki jamani duh!
 
Wewe unaota kweli, toka lini Mtoto wa Mkulima Pinda ana ushirika na mafisadi na majizi yaliyoweka kichaka chao UKAWA?Pinda hawezi kuungana na hao wezi wenu.Hao watakutana na mahakama maalum ya Magufuli.

Wait kwani Pinda ni wa Kaskazini?maana nasikia inaundwa timu ya Kaskazini..Mbowe,Lowassa,Mbatia na Sumaye

Wait kwani Pinda ni Mlutherin?maana nasikia huku kuna timu ya WaLutheri...Mbowe,Lowassa,Mbatia na Sumaye

Sasa Pinda anakosa hizo sifa tatu muhimu, kwanza sio fisadi, pili sio Mkaskazini na tatu sio Mlutheri.

Duuh hi naijua leo
 
Ameshapiga mpunga wake ameridhika. Unajua mshahara wa Waziri Mkuu wewe plus Marupuru, safari na vitu vingine. Mi nashangaa hawa ambao bado wanahangaika majukwaani kujifanya wao wana machungu na nchi, wakati walishakula vya kutosha. Watu hawaridhiki jamani duh!
Heri wao walokumbuka kuwasumbukia wanyonge kuliko wewe uloshiba kodi za wenzako
 
Ameshapiga mpunga wake ameridhika. Unajua mshahara wa Waziri Mkuu wewe plus Marupuru, safari na vitu vingine. Mi nashangaa hawa ambao bado wanahangaika majukwaani kujifanya wao wana machungu na nchi, wakati walishakula vya kutosha. Watu hawaridhiki jamani duh!
Acha waje waumbuke afu mchezo uishe.
 
Back
Top Bottom