Recent content by Mkingaleo

  1. M

    TAKUKURU Tanga ingieni kazini dhidi ya wahusika wanaolea mhujumu na kumdharau DPP

    Kwahali hiyo nadhani mkurugenzi na wahusika wengine wapo likizo na ofisi zimefungwa. Fedheha kubwa sana hii kwa nchi Hali ya Tanga bado kiutawala haipo vizuri ni bora Mh. Rais ainusuru Tanga
  2. M

    Aisome RAS wa Tanga

    Huyo RAS wa Tanga amelala bado maana nimeona uzi mwanajukwaa ameandika akisema yupo mwalimu mmoja ameshtakiwa kesi ya uhujumu uchumi lakini bado ni Afisaelimu kata eti. Huyo RAS Tanga wanahasara
  3. M

    TAMISEMI njooni muondoe wezi Tanga Jiji na Mkinga

    Nao huko makao makuu huwa wakipewa bahasha za kaki wanakua wapole
  4. M

    Malalamiko ya Makato ya Deni la Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) Mwezi Juni, 2021

    Kwahiyo ulitaka alete mada gani hapa jukwaani? Wewe ndio utakua haupo sahihi
  5. M

    Malalamiko ya Makato ya Deni la Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) Mwezi Juni, 2021

    Huyo mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo hamna kitu. Yani huyo ni miongongoni mwa watu wakutumbuliwa. Yupo yupo tu
  6. M

    Dkt Philip Mpango Mgeni Rasmi Ufunguzi Mkutano Mkuu wa BAKWATA Tanga

    Mkurugenzi wa Tanga na Shigela walisha wanunua waandishi wa habari jumla. Hakuna waandishi wa habari Tanga. Ama kweli rushwa ni adui mkubwa sana
  7. M

    Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

    Yapo mambo ambayo niyakufikirika ambapo tunajengwatu kiimani. Mfano Mungu,peponi/mbinguni,malaika nk Vitu hivyo nidhahaniatu. Ukitaka kila kitu ukithibitishe utakuja kusema hakuna koto wala baridi,hakuna raha wala karaha maana havishikiki. Nimawazo yangu tu
  8. M

    Dkt Philip Mpango Mgeni Rasmi Ufunguzi Mkutano Mkuu wa BAKWATA Tanga

    Akija aondoke na viongozi wabadhirifu, wala rushwa, wakandamizaji, wamiliki magenge ya uhalifu na wanaosababisha migogoro ya ardhi Tutampokea kwa mabango. Pia aje na waandishi wake wa habari maana waandishi wa Tanga wapo likizo siku zote
  9. M

    Hamis Tabasamu, Mbunge wa Sengerema usichokoze hisia za watu

    Naomba watu waelewe kwamba wabunge pale wapo kazini na wamewekeza hela zao mpaka wakaingia pale. Sasa hao matajiri wamefuata nini bungeni wakati wana miradi yao? Hoja ya uwezo wa mtu kiuchumi isituzuiye kuendesha mjadala kama tunaona ipo haja
  10. M

    Hamis Tabasamu, Mbunge wa Sengerema usichokoze hisia za watu

    Maisha hayana kanuni,hao alio waajiri ndio akaenda kuwapigia magoti kuwaomba kura.
  11. M

    Hamis Tabasamu, Mbunge wa Sengerema usichokoze hisia za watu

    Labda nisehemu ya masharti ya hela zake. Vigezo na masharti kuzingatiwa
  12. M

    Mwanza: Rais Samia aongea na Vijana wa Tanzania katika Uwanja wa Michezo wa Nyamagana

    Hata Sabaya alikua na mbwembwe Ila kilichotokea hata mbingu zimeshangaa
  13. M

    Hamis Tabasamu, Mbunge wa Sengerema usichokoze hisia za watu

    Huyo hajazaliwa bado kwenye lile bunge
  14. M

    Hamis Tabasamu, Mbunge wa Sengerema usichokoze hisia za watu

    Yeye alipofuta ujinga mbona alienda kuwaomba wananchi kura. Angekaatu akachemsha mavitabu yake akanywa mchuzi
Back
Top Bottom