Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,355
- 1,766
Amani iwe nanyi wanajukwaa
Bila kupoteza muda ninaenda kwenye mada.
Niliwahi kutoa uzi hapa jukwaani juu ya mtuhumishi aliyetuhumiwa na DPP kwa kesi ya uhujumu lakini ameendelea kushikilia ofisi kama afisaelimu kata.
Mwalimu huyo ameenda mbali zaidi kwa kumkaimisha mtumishi mwenzake ofisi badala ya ofisi ya mkurugenzi wa jiji kuchukua hatua za kukaimisha ofisi ya umma haraka.
Unaweza ukajiuliza je hilo lilifanyika kwa bahati mbaya au nimpango wa mkurugenzi na wenzake?
Mbaya zaidi mwanamke huyo ambaye alishafikishwa mahakamani kwa zaidi ya mara tatu alishachukua mshahara na posho ya madaraka. Hivi mnawafanya watu wa Tanga wamelala kiasi hicho?
Hata kama mmelogwa je akili zenu hazijabaki hata kidogo? Akili ya kulogwa... changanya na yakwako.
Eti anadai hawezekani hivi kweli nyie mnaomlea huyo mtu wenu mnadhani wenye akili hawawashangai?
Takukuru ingieni tena kazini. Tena bila kuwakamata maafisaelimu,mkurugenzi,afisa utumishi na katibu tawala mtakua bado mnaonekana mnawalea wezi.
Takukuru kamateni wote hao mkawahoji ndio watatia akili na kama wapo waliogawana hizo hela watatajana.
Haiwezekani mtu apelekwe mahakamani na DPP kisha nyie muwe walezi bora wa mtuhumiwa tena mhujumu
Bila kupoteza muda ninaenda kwenye mada.
Niliwahi kutoa uzi hapa jukwaani juu ya mtuhumishi aliyetuhumiwa na DPP kwa kesi ya uhujumu lakini ameendelea kushikilia ofisi kama afisaelimu kata.
Mwalimu huyo ameenda mbali zaidi kwa kumkaimisha mtumishi mwenzake ofisi badala ya ofisi ya mkurugenzi wa jiji kuchukua hatua za kukaimisha ofisi ya umma haraka.
Unaweza ukajiuliza je hilo lilifanyika kwa bahati mbaya au nimpango wa mkurugenzi na wenzake?
Mbaya zaidi mwanamke huyo ambaye alishafikishwa mahakamani kwa zaidi ya mara tatu alishachukua mshahara na posho ya madaraka. Hivi mnawafanya watu wa Tanga wamelala kiasi hicho?
Hata kama mmelogwa je akili zenu hazijabaki hata kidogo? Akili ya kulogwa... changanya na yakwako.
Eti anadai hawezekani hivi kweli nyie mnaomlea huyo mtu wenu mnadhani wenye akili hawawashangai?
Takukuru ingieni tena kazini. Tena bila kuwakamata maafisaelimu,mkurugenzi,afisa utumishi na katibu tawala mtakua bado mnaonekana mnawalea wezi.
Takukuru kamateni wote hao mkawahoji ndio watatia akili na kama wapo waliogawana hizo hela watatajana.
Haiwezekani mtu apelekwe mahakamani na DPP kisha nyie muwe walezi bora wa mtuhumiwa tena mhujumu