Huu uwongo hujaupangilia vizuri maana mgonjwa kafa hamjapanga taratibu za mazishi mmemkimbiza nyumbani na ukizingatia nyiyi kuzika mpaka siku kadhaa toka msiba uwafike
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake mlioko ndani ya ndoa mko wapi kutetea ndoa zenu wezi wamejitokeza hadharani kwa mkuu wa mkoa na kujitangaza kwamba wana waibia na wanahitaji waume zenu warudi kwenye wizi kwa kuwarudia halafu nyinyi mnawanyamazia kwanini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.