Recent content by mkighare

  1. M

    Shule 20 maarufu Kilimanjaro miaka ya 1980 mpaka 1995

    Mbona uzi unapishana na Maelezo ungesema Shule za moshi na Si Kilimanjaro
  2. M

    Nani anafaa kumrithi Makonda Dar es Salaam?

    Wamwisho sokoni Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    WAKATOLIKI: Je, unamuamini vipi padri unayekwenda kuungama/kutubu dhambi mbele yake?

    Mwenyewe anashida zake atakumbuka za kwako saa ngapi Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Muujiza mkubwa watokea leo: Mdogo wa rafiki yangu amefufuka

    Huu uwongo hujaupangilia vizuri maana mgonjwa kafa hamjapanga taratibu za mazishi mmemkimbiza nyumbani na ukizingatia nyiyi kuzika mpaka siku kadhaa toka msiba uwafike Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Mashine ya mchina inanifilisi

    Hiyo biashara ni haramu kwa dini zote hata upagani Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Arusha: Mji ulioshindikana kwa watu kula 'bata' hapa Tanzania

    Muda uliopo ni wakutafuta na kutumia kuoga tumewaachia nyinyi huko Dar Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Pole Wastara Mungu atakuondoshea lililokuwa zito kwako Insha'Allah

    Shafaqa llah la'abasa twahuru Insha Allah
  8. M

    Wale wanaume mnaopiga wake zenu

    Hawa watu ni muujiza ukikaa nao mwaka haswa wa kwanza bila kumchapa kibao heshima hawezi kuwepo
  9. M

    Wanawake mlioko ndani ya ndoa mko wapi kutetea ndoa zenu?

    Wewe hujui hawa wakimteka mumeo hakuna rangi utaacha kuona
  10. M

    Wanawake mlioko ndani ya ndoa mko wapi kutetea ndoa zenu?

    Naam waende wakachukue orodha wafatilie wapambane na wezi hao
  11. M

    Wanawake mlioko ndani ya ndoa mko wapi kutetea ndoa zenu?

    Wanawake mlioko ndani ya ndoa mko wapi kutetea ndoa zenu wezi wamejitokeza hadharani kwa mkuu wa mkoa na kujitangaza kwamba wana waibia na wanahitaji waume zenu warudi kwenye wizi kwa kuwarudia halafu nyinyi mnawanyamazia kwanini?
  12. M

    Ujumbe wa Hamisa Mobetto kwa mumewe mtarajiwa

    Mbona kajina lako ni kalugha hiyohiyo
  13. M

    Binti aliyetelekezwa na Lowassa asema Fred alimtambua na kumhudumia. Lowassa agoma kupima DNA

    Hongera Mzee umetumia busara mtume Bob anaweza maliza hii kesi kirahisi
Back
Top Bottom