walitufanyia divide and rule wakabeba document zetu wakaneda kuzisoma ndo hzo zinawafanya wavumbue vitu sisi wakatuachia dini zao ndo hzo kila siku zinaleta shida
i will never forgive or forget Nape...kamwee anatakiwa avuliwe kila kitu na afilisiwe kama vipi maana haya yote kaleta yeye tena aliyaleta kwa dharua kubwa akijua yeye yuko juu ya kila kitu
mafundisho yenyewe unafundishwa ukiwa mdogo ili usiwe na akili ya kuhoji...fungua akili jaribu naww kusoma na vitabu vingine using'ang'anie katekisimu tu jomba...jifunze kufikiria na kichwa chako usipende kusaidiwa kufikiria..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.