mimi ni shabiki wa daimond na kila kukicha lazima niingie kwenye profile yake na nikisikia anashoo huwa nafurahi sana lakini niliposikia anashoo ya ccm roho imeniuma lakini nikajipa moyo kua najua anafanya kazi na mziki ndo ajira yake basi muache afanye kazi japo roho imeniuma sana
watanzania bwana so hapo utakuta kunamtu katumwa arushe icho kitu ili watu wauze gazeti kwani hapo kulikua na daimond na alikiba tu na walijuaje kama ni wasanii walidondosha na mbona haikukutwa jukwaani
Yani katika nchi ambazo wananchi wengi wao sawa na vichaa ambao hata milembe hawafai basi tz tunaongoza yani umeme unapanda bei mafisadi wanaongezeka tembo kila siku wanauwawa polis wanauwa wengine wanangolewa kucha na macho hatujawahi andamana eti Leo zito kavuliwa vyeo ndani ya chama...
Ata shetani alikua kama zito akajifanya anaweza zaid lakini mwisho akapigwa chini tunajua ccm mtaongea sana lakini sisi tulipenda cdm sio zito cdm aliikuta na ataiacha
Nilijua Itakua hivyo coz nikakumbuka ya ditopile yalikua hivihivi so sishangai ndo tz yetu polisi wapo kwa jili ya cdm angekua mbowe Leo hata vifaru vingetumika kumkamata lakini kwa Sababu ya wenye nchi kama wanavyodai basi
kweli upumbavu noma baada ya mda unaobishana na chadema ukawa unakisaidia chama chako ccm kisife we unangaika na katiba ya cdm sawa na mtu anamfukuza mke wake wewe unakazana haiwezekani mwambieni na mjinga mwenzenu ahamie kwenye chama chenye katiba isio ya kidikteta kwisha
Kweli tunakoenda sasa sijui niliona Jana habari ikisema rai na mwananch wanataka kutumiwa ili kumchafua mbowe nilijua ni habali za hum lakini cha kushangaza kweli rai lishaanza kazi je maana ya vyombo vya habari ni nini halafu Kuna watu humu wanafurahi hawajui kua hii ni hatari katika taifa...
Angekua ni ponda kasema ccm wanatumiwa na nchi za nje kuleta vita kesi ingeongezeka wangesema mchochezi lakini kwa sababu wengine wapo juu ya sheria basi lakini ningekua kiongozi basi angetusaidia kwa upelelezi huyo sijui simba pili anataka kutuambia kua polisi ndo nchi za nje na ccm ndo cdm...
kingereza Baba hii lugha ilikuja na ndege ndiomana unaona wanasema hivyo kumbe hawakuelewa kasema nini sasa ili tujue nao wamechangia mh lugha hizi ndiomaana mi nachangia tu za kiswahili za kizungu awe bora nionekane mjinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.