Acheni kuimba wimbo kwa mkumbo tuambieni alichowafanyia marehemu Ruge mpaka kumpa sifa si zake.
Acheni kukufuru, acheni kujipendekeza, hata Mungu hawaelewi kwann mnampa sifa ambazo si zake!
Binafsi namuona Ruge ni mfanyabiashara kama Dialo au Mama Rwakatare maana wote ni wajasiriamali.
Kama...
Mkuu huwezi jua kuna nini kinafichwa. Siku zote mchawi ndo hujifanya anauchungu sana na marehemu huku nyuma ya pazia akijua alichofanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Niingie kwenye mada tajwa.
Nahitaji mke mwema.
Sifa za nimtakaye
Awe mwaminifu mwenye nia ya kweli, aliyemaliza mambo ya ujana, aliyetayari na mwenye shauku ya kuanza familia.
Umri 26-35
Anayejishughulisha na shughuli halali.
Mkweli
Dini yyte
Sifa zangu
Mfanyabiashara
Mkazi Wa Moro
Elimu ya...
We nae mpira ulicheza wapi? Hukuona huyo kwasi alichomfanyia Yondani mpaka kureact vile? Acheni viherehere kudandia mambo msiyo yajua...wengine nyie ni wajuzi wa kulala chali and nothing else.
Kazi kweli kweli! Kwanini yeye January asimtibie baba yake na kukaa kungoja ccm ifanye hivyo? Hapo alipo anashindwa nini kufanya hivyo? Mambo mengine yanafanywa kiki wakati hayana maana yyte ile ..hiyo kiki ya January imebuma kwa wenye ufahamu ila kwa mambumbumbu kama wapenzi na washabiki wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.