Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
kumbe ccm unapewa cheo kutokana na undugu asante sana kwa kulijua hilo siyo unapewa cheo kutoka na kizomo na uwezo wako kweli ccm ni janga lakitaifaSasa yeye kama waziri mwandamizi anamsaidiaje baba yake?...... au anadhani alipewa uwaziri kutokana na uwezo wake?......la hasha ni pamoja na kumuenzi baba yake!