Recent content by Mkanganyiko kukanganya

  1. Mkanganyiko kukanganya

    Bei ya Mafuta yapanda katika bandari zote kuanzia Machi 4, 2026

    Hizo huduma unazo fwata kwa miguu huko dukani zinafikaje?? bidhaa,vyakula,pembejeo,.madawa vinasafirishwa! Usafiri unahitaji mafuta hvyo kila kitu kitapanda bei na mnunuzi ni wewe! Kwa hiyo kujisifu kwako kutembea kwa miguu ni ujinga tu
  2. Mkanganyiko kukanganya

    Magonjwa hayaishi kwa kula mavyakula ya hovyo kama haya

    Baa mshenzi pombe za bei chee, wanauzaga vitu vya ovyo huko kuna mataputap namn hiyo! Wanapima mpk nyama za sh 200 na bakuli la supu
  3. Mkanganyiko kukanganya

    Muheza: Baraza la Madiwani lapiga kura ya kutokuwa na imani Mkurugenzi Mtendaji, Dkt. Juma Mhina

    Huyu mwamba kweli achunguzwe anaviashiria vyote vya upigaji! Alikuwaga Longido nadhani alitolewa kisa upigaji na uajibikaji mbovu sn, akapewa Ngorongoro then Muheza
  4. Mkanganyiko kukanganya

    Hivi Wastara ametumia vigezo gani kumkubalia Dudubaya?

    WATASEMA UNAMUONEA WIVU MWANAMKE MWENZIO KWA RAHA ANAZOENDA KUZIPATA 😂😂😂
  5. Mkanganyiko kukanganya

    Arsenal inanitesa. Mapenzi yananitesa. Mi nitakua mgeni wa nani?

    Bora kuwa mshabiki wa porn tu coz ni happy ending 😂😂 no tress
Back
Top Bottom