Post ngapi tunaziona JF mbona hatuulizani kuwa ukipangiwa kwenda kusoma ulaya itakuwa hivi Duuuuh Kama huwezi kujiheshimu sidhani kama utaheshimika Ngoja nitoe andiko langu
Huko kwenu hamsaidiani??? Acha uenyeji cc ni watanzania kama wewe ni mmalawi Sawa kushindwa kuchangia kafanye kazi uloizoea pia asiyeuliza Hana ajifunzalo halafu ninawasiwasi na hekima zako
Naomba msaada kwa wazoefu wa wilaya ya Lushoto mie nimechaguliwa kujiunga na advance Kwemaramba. Sasa sijui kampuni za mabasi ya kwenda Lushoto tokea Dar, mie nipo kusini mwa Tanzania na vip ni mbali sana kilometa zake au ni sawa tu na Mtwara kwetu?
Naomba kufahamishwa halmashauri ya wilaya lushoto ni Kata ipi ina jiografia nzuri na ina miundombinu safi ya kufika wilayan na jiografia ninayosema ni uwepo wa ardhi ya kilimo na huduma za msingi 0629088763
NAOMBA KUJULISHWA NAMNA YA KUPOST TAARIFA JAMII FORUM 0629088763 AU
mtumishi anayejua vizur jiografia YA lushoto kuhusu mambo kadha#
1= fursa za kilimo hasa Kata ya mlola
2=huduma za kijamii hasa maji, umeme, na miundombinu ya barabara
3=usafir wa mlola -Lushoto hadi nje ya wilaya
4=uwepo wa...
Naomba kuuliza maswali mawili 1) ni lini mtaingiza station za radio za Tanzania maana watumiji cc ni watanzania 2) kwanini ving 'amuzi vingine vina lugha ya kiswahili na vingine vina kifaransa na kiingeraza tu??? 0629088763
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.