chanjo wenyewe washaanza kua na wasiwasi sisi tusiwe na wasiwasi kisa tubapokea ARV?acheni bangi kwani tunapokea mangapi ila hii ina ukakasi mtuache tunazo ndimu na tangawizi tunatumia wajipange tena uzuri
Kuna wakati nilijiuliza wanasayansi waliingia maabara kutafuta chanjo ya corona ile ya wuhan c muda tukaambiwa kuna kirusi kipya uingereza na south africa lakini ajabu chanjo ndio ileile, c utapeli huu kwa mfano sasa south africa washaapokea chanjo kibao c hasara kwao.
naomba wanajukwaa mwenye kujua atujuze .hivi channel za ndani zimefungwa kwa manufaa ya nani ?maana ukiwa kenya unaona ukiwa uganda unaona ukiwa maeneo mengi tu nje ya tanzania unazipata ila ukiwa tanzania tatizo linaanza kuna kitu gani hasa kinachoendelea na hii ni kwa manufaa ya nani ?hivi itv...
nafikiri kwa nyinyi wasomi inatakiwa muandike haya kila zikku lengo liwe kuikumbusha serikali wajibu wake lakini kukebehi ujenzi wa Barbara sioni kama ni sahihi
Mmhhh mie sisemi maana walinisemea wasambaa (mruka gemo aweea kigha)ila niseme marekani kigha chake kilikua kidogo na matunda yake kujifanya anaweZa ni haya yatokeayo sie kama kopo la taka kila kitu tunapokea poleni wakenya lakini choo mlichoingia hakiwafai mtacheka tu
Binafsi simpongezi sugu kwa hayo maneno kwa maana kwangu namuona ni mbunge mjinga anayetamka maneno kama hayo ukiwa kama kiongozi wazungu, za hayo alo nje je? Huo ni ujinga mwerevu anarudi kufikiri nn kilitokea na afanye nn sio kuropoka kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii ni ujinga
Mmmmh pazito lakini niseme kama ni kweli basi kuna tatizo na kinachonishangaza ww upo badala ya kuanza kumuambia au kumuelekeza heche pengine kateleza unakuja kulalamika jamii forums napatwa na wasiwasi kidogo kuna nn
Ni sisi ndio .......unajua na sisi tumezidi kuishi mawazo ya wanasiasa bila kujijua maana tunapelekeshwa kiasi wengine huamini ujinga kwamba flani akiwa kiongozi mm sina haja ya kufanya kazi na hicho ni kilema kinachotutaabisha watz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.