Issue sio kuvunja Katiba, issue huyo naibu Waziri Mkuu ataripoti kwa nani. Boss wake nani ?. Waziri Mkuu anaripoti utendaji wa serikali kwa Rais, Huyu naibu Waziri Mkuu automatically atakuwa naye anaripoti utendaji wa serikali kwa Rais (mteule wake) . Sasa hapo ndio tatizo linapoanza, Taarifa...
Hamna anachokijua kuhusiana na miradi, unaweza ukawa msomi lakini hujui kazi. Yaani Hutu dogo ni zero kabisa. Hawajui lolote kuhusu miradi. Ni aibu kwa aliyemfanyia vetting
Tangu upite uteuzi wa Wakuu wa Mikoa hakuna kinachofanyika huku kwenye Halnashauri.
Kauri yako uliyoitoa wakati unawaapisha wakuu wa mikoa ya kwamba " zege halilali ,hii itaenda hadi chini" umesababisha viongozi hao ku-relux na kutofanya kazi.
Wapo wanaosema mama unaingiza watu wako ,hivyo...
Huyu DC atakuwa mgeni kwenye Halmashauri,hazijui.
Naomba nimjuze machache tu kuhusu Halmashauri
1: Mkurugenzi kuongoza halmashauri haitaji mawazo ya wakuu wa idara, wakueugenzi wanaendesha halmashauri kama tu nyumba zao, ndio maana utakuta Cmt ( vikao vya wakuu idara ) anaongea peke yake mwanzo...
Rais wetu umejitahidi kufuta maumivu ya watumishi Wa umma wa nchi hii pamoja na makundi mengineyo yaliyokuwa yameathirika na utawala wa JPM.
Hakika katika utawala Wa mwendazake wananchi wameona rangi mbalimbali
Magufuri aliweka utaratibu mbaya Wa upandaji Wa madaraja ya mishahara pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.