Recent content by mkamanga original

  1. mkamanga original

    Je, Rais amevunja Katiba kwa kuteua cheo nje ya Katiba?

    Issue sio kuvunja Katiba, issue huyo naibu Waziri Mkuu ataripoti kwa nani. Boss wake nani ?. Waziri Mkuu anaripoti utendaji wa serikali kwa Rais, Huyu naibu Waziri Mkuu automatically atakuwa naye anaripoti utendaji wa serikali kwa Rais (mteule wake) . Sasa hapo ndio tatizo linapoanza, Taarifa...
  2. mkamanga original

    Mbio za mwenge, kiongozi awe mweledi na busara au tuendelee na hawa hawa

    Hamna anachokijua kuhusiana na miradi, unaweza ukawa msomi lakini hujui kazi. Yaani Hutu dogo ni zero kabisa. Hawajui lolote kuhusu miradi. Ni aibu kwa aliyemfanyia vetting
  3. mkamanga original

    USHAURI: Rais teua Wakurugenzi wa Halmashauri, Halmashauri zinakufa huku

    Tangu upite uteuzi wa Wakuu wa Mikoa hakuna kinachofanyika huku kwenye Halnashauri. Kauri yako uliyoitoa wakati unawaapisha wakuu wa mikoa ya kwamba " zege halilali ,hii itaenda hadi chini" umesababisha viongozi hao ku-relux na kutofanya kazi. Wapo wanaosema mama unaingiza watu wako ,hivyo...
  4. mkamanga original

    Kwako Mbunge wa Arusha, zinduka wanaArusha tunateketea

    Hahahah, dodoma hapa polisi wanapita wanawakusanya madada poa,wanawapeleka polisi ,wanawekwa nyuma halafu maaskari wanajisevia asbh saa 12 wanawaambia nendeni. Ukiwa mbishi wenzako wanarudishwa wewe unapelekwa mahakamani asbh. Sasa wakiona gari la polis wanakimbia ,utawakuta wanasimuliana...
  5. mkamanga original

    Ni halali Wazanzibari kufanya kazi za Watanganyika?

    Mtetezi wa muungano alikuwa ndugai, kitendo cha kutoka basi hatuna mtetezi mwingine. Ajira in sehemu ndogo sana, anaglia na maeneo mengine
  6. mkamanga original

    Maisha Bhana! Sabaya aangua kilio Mahakamani

    Mmasai wa kiume kulia ni mkosi kwa taifa
  7. mkamanga original

    Mkuu wa Wilaya ya Kigoma ashauri Wakuu wa Idara kuwajibishwa, Wakurugenzi wa Halmashauri wanapotumbuliwa

    Huyu DC atakuwa mgeni kwenye Halmashauri,hazijui. Naomba nimjuze machache tu kuhusu Halmashauri 1: Mkurugenzi kuongoza halmashauri haitaji mawazo ya wakuu wa idara, wakueugenzi wanaendesha halmashauri kama tu nyumba zao, ndio maana utakuta Cmt ( vikao vya wakuu idara ) anaongea peke yake mwanzo...
  8. mkamanga original

    Rais Samia umeupiga mwingi kwenye Utumishi wa Umma, ila kuna moja linaloumiza utumishi wa umma umeliacha

    Rais wetu umejitahidi kufuta maumivu ya watumishi Wa umma wa nchi hii pamoja na makundi mengineyo yaliyokuwa yameathirika na utawala wa JPM. Hakika katika utawala Wa mwendazake wananchi wameona rangi mbalimbali Magufuri aliweka utaratibu mbaya Wa upandaji Wa madaraja ya mishahara pamoja na...
  9. mkamanga original

    Kenya 2022 Siasa za Afrika na maajabu ya Martha Karua

    Martha ni kabjla gani anatokea wapi
  10. mkamanga original

    Zitakuja nyakati tutatamani Magufuli arudi hata siku moja madarakani

    Watu tunatamani Yesu arudi lakini hatutamani shetani arudi
  11. mkamanga original

    Nimetizama filamu ya Royal Tour. Haya ni maoni yangu!

    Waje na huku Ruvuma kuna jiwe la mbuji na lenyewe liingie kwenye royal tour, hilo jiwe asbh linakuwa jeusi, mchana jeupe jioni blue na usiku njano
Back
Top Bottom