@WIZARA YA AFYA-TANZANIA jamani kwa wale waliopo CHUNYA MBEYA Tupeni neno nimesikia kuwa kuna mchna sijui kadanja na mmoja kapelekwa hospital kwa kuhofia kuwa huenda ni COVID-19 hivyo hatutaki kuwachanganya watu tupeni ukweli TAFADHALI AU WASILISHA TAARIFA KAMILI KWA WIZARA HUSIKA
Mzee hiviiiiii yashawahi kuikuta maswaibu makubwa family yako na ukaanza kumlaumu hadi mungu
Ila suala la lissu hakika walohusika Kama wapo wanaishi hakika kwa Mungu si kwa mzungu
Wanaccm acheni kupotosha umma wambieni watu ukweli ilikuwaje na kwanini albadiri zilizuiliwa na kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.