Ivan Prosper
Senior Member
- Nov 28, 2016
- 150
- 94
Naona albadili ishaingia mpka IKULU
Ona unavojikenua kama chizi aliyeona jalala jipya.
NARUDIA TENA KUSEMA HUYO RAIS KITU KINACHOMSUMBUA NI UDINI UKABILA CHUKI NA UBAGUZI UMASIKINI.
SWISSME
Heye..hey....hapo kwenye Ubaguzi, chuki na umasikini ndo penyewe.Hahahaha mchepuko wa mbowe naona unamtaadhalisha mwenzako asikuibie.
Swissme
Anakenua alivyoona unavyokata miuno hapaOna unavojikenua kama chizi aliyeona jalala jipya.
Huwa huzungumzii mungu wa daudi,huwa anamsema mungu wa indiaBaadae anapanda jukwaani "Maendeleo hayana chama, msema kweli mpenzi wa Mungu" Huku Mbeya watu wamezuiliwa wasilime wameambiwa wanaharibu vyanzo vya maji
safi sana watu wengine wana maswali ya shomboMulize Magu baba ako anamjua
OvaaNARUDIA TENA KUSEMA HUYO RAIS KITU KINACHOMSUMBUA NI UDINI UKABILA CHUKI NA UBAGUZI UMASIKINI.
SWISSME
Ushajibiwa juu somaMbowe ndo nani?
Heshima kwenu wakuu,
Nmeshangaa kuona rais Magufuli akiwaruhusu watu kulima kwenye vyanzo vya maji na kuwapa hela kwamba ni wazalendo wachapa kazi. Kamuachia maagizo mkuu wa Wilaya wasiwabugudhi.
Hayo yanejiri baada ya hivi karibuni Freeman Mbowe kuharibiwa shamba lake la mbogamboga kwamba alilima sehemuoevu.
Hii inawachanganya Watendaji na Wananchi. Bwana Shamba alishawakataza. Huku Hai mambo ni tofauti.
Je ni kweli Wanasiasa wa Upinzani wananyanyaswa au wanaonewa?
Mwanza watu wamekatazwa kubomoreshwa kisa walimpa kura wakati wale wa Kimara waliompa kura Lowassa wakibomolewa nyumba zao.
Je ni kweli Wanasiasa wa Upinzani wananyanyaswa au wanaonewa?
Heshima kwenu wakuu,
Nmeshangaa kuona rais Magufuli akiwaruhusu watu kulima kwenye vyanzo vya maji na kuwapa hela kwamba ni wazalendo wachapa kazi. Kamuachia maagizo mkuu wa Wilaya wasiwabugudhi.
Hayo yanejiri baada ya hivi karibuni Freeman Mbowe kuharibiwa shamba lake la mbogamboga kwamba alilima sehemuoevu.
Hii inawachanganya Watendaji na Wananchi. Bwana Shamba alishawakataza. Huku Hai mambo ni tofauti.
Je ni kweli Wanasiasa wa Upinzani wananyanyaswa au wanaonewa?
Mwanza watu wamekatazwa kubomoreshwa kisa walimpa kura wakati wale wa Kimara waliompa kura Lowassa wakibomolewa nyumba zao.
Je ni kweli Wanasiasa wa Upinzani wananyanyaswa au wanaonewa?
Kazi sana ukiwa na hulka ya kulalamika lalamika, kama mke, mume atabwaga, kama mume, mke atachanganyikiwa kama kweli ana dume...Mbowe alilima kwenye chanzo cha maji, hao aliowasemea Rais hawajalima kwenye chanzo cha maji.