Recent content by MKAKA HALISI

  1. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Naunga mkono hoja kwa muujibu wa vyombo vyetu vya usalama vimebaini kuwa tuna magaidi sasa ndio hali halisi ya nchi yetu
  2. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania Je ni kweli mwanaume anaejielewa lazima awe bahili? Toa maoni yako

    Ubahili ni nini ? Ni ile hali ya kuelekeza pesa kwenye mambo ya msingi na yenye ulazima. Binafsi marakadhaa wadada wananiita bahiri lkn sioni ubahili wangu uko wapi maan nikweli nafahamika lkn je napaswa kumnunulia kila anae niomba yani ukitamani soda wewe nighalamie mm ukiishiwa vocha wewe...
  3. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanaume wanaona ugumu kumsifia mwanaume mwezie kama kapendeza au ni mzuri?

    Wanaume tunasifiwa kwa uwajibikaji ndio maana hata kule Mahabusu mtuhumiwa wa pesa ndefu anaheshimika lkn sio mwizi wa kuku
  4. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania CHADEMA nendeni kwenye maridhiano ndipo mdai Katiba Mpya

    Mm nadhani shida sio CHADEMA kwenda kwenye maridhiano bali dhamira ya maridhiano ipo kweli? Je mara ngapi wamewahi kukubaliana mambo na nini kilitokea? Ni rahisi CCM na CHADEMA wakakaa na kufanya maridhiano yakawa na manufaa kwa wengi kuliko CCM wakakaa na UDP ni sawa na hakuna hivyo CHADEMA sio...
  5. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania Mzazi anaona bora mtoto alipwe laki 3 akiwa ameajiriwa kuliko kupata million 1 ya kujitafutia

    Yani huu ufinyu wa akili umekuwa kikwazo sana yani jamii yetu inaamini secretary anae lipwa laki nne ni bora kuliko Dobi mwenye Laundry anaingiza 1.5m monthly
  6. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kampuni gani mkuu
  7. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania Rafiki wangu amegundua mke wake anajihusisha na usagaji. Anaomba ushauri wenu

    Kizazi cha hovyo sana wanawake wamejaa ujinga sana kule unakuta kuna mwanamke analalamika wanaume sio wawajibikaji wanapenda kulelewa haya hiki nini?
  8. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania Wezi wa mali za umma tuoneeni huruma walala hoi. Ibeni halafu mfanye vitu vya kizalendo na vyenye tija ili roho zituume kidogo

    Acha watupige tu mpaka akili zitukae sawa kisheria CAG ndio jicho la mwananchi lkn mbele ya wanasiasa anaonekana kama mropokaji report ya CAG pekee inatosha kutushawishi tukaandamana lkn huo ujasiri haupo
  9. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania Clement Mzize umemkosea heshima sana wakala wako, wachezaji wazawa ndio mana wengi hawafanikiwi kucheza nje ya nchi

    Huu ni uhuni tu tangu kini shabiki wa Yanga akaiyombea Simba mazuri au shabiki wa Simba akaiyombea Yanga mema? Kinacho shangaza ni kuwa mashabiki wa Simba ndio wanapambana Mzinze auzwe wakati huo wanajua fika ukifanikiwa kufika robo final tu ya Champions League unakutana na vigogo ambao ndio...
  10. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania WanaJF, Nawaahidi mashahidi wa Siri wa serikali tutawaweka wazi taarifa zao baada tu ya kutoka kutoa ushahidi

    Huu ndio ukweli hii nchi ni yetu sote na wote tunapenda ustawi na tunajivunia hili taifa madaraka walio nayo watawala ni kwaajili ya ustawi wa Taifa hili na vizazi vyetu na sio kuonea wengine na kupora haki zao haikuzoeleka kwenye jamii yetu kushangiria msiba lkn ukosefu wa haki ndio...
  11. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania WanaJF, Nawaahidi mashahidi wa Siri wa serikali tutawaweka wazi taarifa zao baada tu ya kutoka kutoa ushahidi

    Hii comment imenitia nguvu sana hakika nimeipenda sana
  12. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania Ulianza kumiliki simu akiwa na umri gani??

    Kumbe nimejichanga nimeingia kenye post ya watoto je kuna yeyoye aliye tumia mtandao uliitwa The grid?
  13. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hapendi nishike uke wake tukiwa faragha

    Nina msongo wa mawazo ushauri wangu usizingatiwe sana. Mm nimewaza hivi unaonaje ili kupata sababu ya wewe kumkuna huyo shemeji yetu na mavidole yako tangulia kushika pilipili then mwenyewe atataka
  14. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania Huu ufa kwenye hii ndoa unazibika?

    Ukishtakiwa kwa kosa la kuuwa mwanasheria atakutaka umueleze ukweli kuwa ilikuaje ili ajue namna ya kukutetea maana adhabu zipo tatu au nne huu ni mfano tu KUNYONGWA, KIFUNGO CHA MAISHA JELA AU KUUWA BILA KUKUSUDIA sasa hizi ndio hukumu za case sasa ukimweleza ukweli mtetezi wako ni rahisi...
Back
Top Bottom