Recent content by MKAKA HALISI

  1. MKAKA HALISI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki wangu amegundua mke wake anajihusisha na usagaji. Anaomba ushauri wenu

    Kizazi cha hovyo sana wanawake wamejaa ujinga sana kule unakuta kuna mwanamke analalamika wanaume sio wawajibikaji wanapenda kulelewa haya hiki nini?
  2. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania Wezi wa mali za umma tuoneeni huruma walala hoi. Ibeni halafu mfanye vitu vya kizalendo na vyenye tija ili roho zituume kidogo

    Acha watupige tu mpaka akili zitukae sawa kisheria CAG ndio jicho la mwananchi lkn mbele ya wanasiasa anaonekana kama mropokaji report ya CAG pekee inatosha kutushawishi tukaandamana lkn huo ujasiri haupo
  3. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania Clement Mzize umemkosea heshima sana wakala wako, wachezaji wazawa ndio mana wengi hawafanikiwi kucheza nje ya nchi

    Huu ni uhuni tu tangu kini shabiki wa Yanga akaiyombea Simba mazuri au shabiki wa Simba akaiyombea Yanga mema? Kinacho shangaza ni kuwa mashabiki wa Simba ndio wanapambana Mzinze auzwe wakati huo wanajua fika ukifanikiwa kufika robo final tu ya Champions League unakutana na vigogo ambao ndio...
  4. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania WanaJF, Nawaahidi mashahidi wa Siri wa serikali tutawaweka wazi taarifa zao baada tu ya kutoka kutoa ushahidi

    Huu ndio ukweli hii nchi ni yetu sote na wote tunapenda ustawi na tunajivunia hili taifa madaraka walio nayo watawala ni kwaajili ya ustawi wa Taifa hili na vizazi vyetu na sio kuonea wengine na kupora haki zao haikuzoeleka kwenye jamii yetu kushangiria msiba lkn ukosefu wa haki ndio...
  5. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania WanaJF, Nawaahidi mashahidi wa Siri wa serikali tutawaweka wazi taarifa zao baada tu ya kutoka kutoa ushahidi

    Hii comment imenitia nguvu sana hakika nimeipenda sana
  6. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania Ulianza kumiliki simu akiwa na umri gani??

    Kumbe nimejichanga nimeingia kenye post ya watoto je kuna yeyoye aliye tumia mtandao uliitwa The grid?
  7. MKAKA HALISI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu hapendi nishike uke wake tukiwa faragha

    Nina msongo wa mawazo ushauri wangu usizingatiwe sana. Mm nimewaza hivi unaonaje ili kupata sababu ya wewe kumkuna huyo shemeji yetu na mavidole yako tangulia kushika pilipili then mwenyewe atataka
  8. MKAKA HALISI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huu ufa kwenye hii ndoa unazibika?

    Ukishtakiwa kwa kosa la kuuwa mwanasheria atakutaka umueleze ukweli kuwa ilikuaje ili ajue namna ya kukutetea maana adhabu zipo tatu au nne huu ni mfano tu KUNYONGWA, KIFUNGO CHA MAISHA JELA AU KUUWA BILA KUKUSUDIA sasa hizi ndio hukumu za case sasa ukimweleza ukweli mtetezi wako ni rahisi...
  9. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania Mke agoma kurudi hadi atumiwe Laki na nusu

    Huyu kamzoesha hivyo lkn pia mke ni wako kuepusha kelele tuma hiyo pesa mambo yaendelee hata yeye kakumbuka kurudi aje mpeane tuma tu kwani tunahonga sh ngapi bwanaaa Siku nyingine zingatia mahudhurio
  10. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania Jamii tuzungumze kuhusu baadhi ya wababa na matunzo kwa watoto

    Hizi cases ni nyingi sana lkn kwa kiasi kikubwa chanzo ni wanawake wenyewe kibaya zaidi sheria mawazo na mitazamo inaegemea na kusaidia upande mmoja hawa wanawake ni washindani sana hawasikii wala hawaambiliki tena wasomi ndio viazi zaidi si wawajibikaji bali ni wabishi uraramishi kuna muda...
  11. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wapinzani Wanaogopa Sana Kukutana Na Rais Samia Katika Sanduku La Kura. Mambo aliyoyafanya ni Miujiza Itembeayo

    Tufanye hivi leta reforms afu Lissu abaki grezani Sa1000 afanye kampeni 3 manths afu Heche Three weeks ita uchaguzi
  12. MKAKA HALISI

    JamiiForums Tanzania Tunaomba kujua ni wapi aliko Rais wetu kipenzi Samia Suluhu Hassan, Rais ni mali ya umma

    Hahahahaha! Leo weekend atakua kapumzika tu usihofu maana machawa bila kumtaja taja huwa wanakosa raha
  13. MKAKA HALISI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Matured Christian Man for Marriage

    Ukweli ni kwamba Hakuna formula sahihi ya kupata mwenza sahihi angalau mkaendana kwa 50% kuna muda utaona mtu ni sahihi lkn ukikaa nae baada ya muda furani utagundua yupoje Mercy usivunjike moyo hakuna linalo shindikana usisahau kuwa una wajibu wa kumtengeza ili awe bora zaidi huyo mwenza wako
  14. MKAKA HALISI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mchumba

    Hongera mdogo wangu lkn ushauri wangu kwako umri tajwa wa mke ni bahati kupata mtu anaye jielewa hivyo usifanye haraka sana hata wewe ukisogea kwenye 29 sio mbaya ili uongeze busara na hekma za kutunza hawa viumbe all the best kijana
Back
Top Bottom