Acha watupige tu mpaka akili zitukae sawa kisheria CAG ndio jicho la mwananchi lkn mbele ya wanasiasa anaonekana kama mropokaji report ya CAG pekee inatosha kutushawishi tukaandamana lkn huo ujasiri haupo
Huu ni uhuni tu tangu kini shabiki wa Yanga akaiyombea Simba mazuri au shabiki wa Simba akaiyombea Yanga mema?
Kinacho shangaza ni kuwa mashabiki wa Simba ndio wanapambana Mzinze auzwe wakati huo wanajua fika ukifanikiwa kufika robo final tu ya Champions League unakutana na vigogo ambao ndio...
Huu ndio ukweli hii nchi ni yetu sote na wote tunapenda ustawi na tunajivunia hili taifa madaraka walio nayo watawala ni kwaajili ya ustawi wa Taifa hili na vizazi vyetu na sio kuonea wengine na kupora haki zao haikuzoeleka kwenye jamii yetu kushangiria msiba lkn ukosefu wa haki ndio...
Nina msongo wa mawazo ushauri wangu usizingatiwe sana.
Mm nimewaza hivi unaonaje ili kupata sababu ya wewe kumkuna huyo shemeji yetu na mavidole yako tangulia kushika pilipili then mwenyewe atataka
Ukishtakiwa kwa kosa la kuuwa mwanasheria atakutaka umueleze ukweli kuwa ilikuaje ili ajue namna ya kukutetea maana adhabu zipo tatu au nne huu ni mfano tu KUNYONGWA, KIFUNGO CHA MAISHA JELA AU KUUWA BILA KUKUSUDIA sasa hizi ndio hukumu za case sasa ukimweleza ukweli mtetezi wako ni rahisi...
Huyu kamzoesha hivyo lkn pia mke ni wako kuepusha kelele tuma hiyo pesa mambo yaendelee hata yeye kakumbuka kurudi aje mpeane tuma tu kwani tunahonga sh ngapi bwanaaa
Siku nyingine zingatia mahudhurio
Hizi cases ni nyingi sana lkn kwa kiasi kikubwa chanzo ni wanawake wenyewe kibaya zaidi sheria mawazo na mitazamo inaegemea na kusaidia upande mmoja hawa wanawake ni washindani sana hawasikii wala hawaambiliki tena wasomi ndio viazi zaidi si wawajibikaji bali ni wabishi uraramishi kuna muda...
Ukweli ni kwamba Hakuna formula sahihi ya kupata mwenza sahihi angalau mkaendana kwa 50% kuna muda utaona mtu ni sahihi lkn ukikaa nae baada ya muda furani utagundua yupoje Mercy usivunjike moyo hakuna linalo shindikana usisahau kuwa una wajibu wa kumtengeza ili awe bora zaidi huyo mwenza wako
Hongera mdogo wangu lkn ushauri wangu kwako umri tajwa wa mke ni bahati kupata mtu anaye jielewa hivyo usifanye haraka sana hata wewe ukisogea kwenye 29 sio mbaya ili uongeze busara na hekma za kutunza hawa viumbe all the best kijana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.