Ubahili ni nini ?
Ni ile hali ya kuelekeza pesa kwenye mambo ya msingi na yenye ulazima.
Binafsi marakadhaa wadada wananiita bahiri lkn sioni ubahili wangu uko wapi maan nikweli nafahamika lkn je napaswa kumnunulia kila anae niomba yani ukitamani soda wewe nighalamie mm ukiishiwa vocha wewe...
Mm nadhani shida sio CHADEMA kwenda kwenye maridhiano bali dhamira ya maridhiano ipo kweli?
Je mara ngapi wamewahi kukubaliana mambo na nini kilitokea?
Ni rahisi CCM na CHADEMA wakakaa na kufanya maridhiano yakawa na manufaa kwa wengi kuliko CCM wakakaa na UDP ni sawa na hakuna hivyo CHADEMA sio...
Yani huu ufinyu wa akili umekuwa kikwazo sana yani jamii yetu inaamini secretary anae lipwa laki nne ni bora kuliko Dobi mwenye Laundry anaingiza 1.5m monthly
Acha watupige tu mpaka akili zitukae sawa kisheria CAG ndio jicho la mwananchi lkn mbele ya wanasiasa anaonekana kama mropokaji report ya CAG pekee inatosha kutushawishi tukaandamana lkn huo ujasiri haupo
Huu ni uhuni tu tangu kini shabiki wa Yanga akaiyombea Simba mazuri au shabiki wa Simba akaiyombea Yanga mema?
Kinacho shangaza ni kuwa mashabiki wa Simba ndio wanapambana Mzinze auzwe wakati huo wanajua fika ukifanikiwa kufika robo final tu ya Champions League unakutana na vigogo ambao ndio...
Huu ndio ukweli hii nchi ni yetu sote na wote tunapenda ustawi na tunajivunia hili taifa madaraka walio nayo watawala ni kwaajili ya ustawi wa Taifa hili na vizazi vyetu na sio kuonea wengine na kupora haki zao haikuzoeleka kwenye jamii yetu kushangiria msiba lkn ukosefu wa haki ndio...
Nina msongo wa mawazo ushauri wangu usizingatiwe sana.
Mm nimewaza hivi unaonaje ili kupata sababu ya wewe kumkuna huyo shemeji yetu na mavidole yako tangulia kushika pilipili then mwenyewe atataka
Ukishtakiwa kwa kosa la kuuwa mwanasheria atakutaka umueleze ukweli kuwa ilikuaje ili ajue namna ya kukutetea maana adhabu zipo tatu au nne huu ni mfano tu KUNYONGWA, KIFUNGO CHA MAISHA JELA AU KUUWA BILA KUKUSUDIA sasa hizi ndio hukumu za case sasa ukimweleza ukweli mtetezi wako ni rahisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.