Recent content by MK254

  1. MK254

    Itikadi kali wanazidi kuua wakristo Nigeria, bado hawajachoka hadi hapo kila nyumba ya mkristo ivuje damu

    Kwani hiyo Nigeria ina Wakristo wangapi wanajiachia kuuawa kinyonge, wapambane kama mbwai na iwe mbwai nchi iwe na mafuriko ya damu. Ukijifanya mnyonge kwa waislamu watawachinja nyote muishe, Mohammad alitembeza upanga ila akakuta kuna maeneo hawakumpa nafasi, hata bara Uropa leo hii wangekua...
  2. MK254

    2022 almanusra nife na gono, nilikuwa mpenzi mkubwa wa wadada wenye makebo makubwa na kwa vile nilikuwa na vijisenti nilijihisi kama John Cena

    Halafu cha kushangaza, madem huwa hawajijali, wanakuachia wewe ndiye uchague kutumia Kinga au la, ukiwa na minyege unatumbukia tu kisha majuto.
  3. MK254

    Wataalam wa AI, hivi dunia iko salama kweli, mbona kama nahisi yatatokea ya Teminator movie na kutumaliza....NAOGOPA!!!!

    Hapa suala sio kupiga ban AI, ila hiki kitu kimekaaje, je kuna sera kwenye ubunifu wake, kunao wanaoratibu au ni kila mtu afanye yake.
  4. MK254

    Wataalam wa AI, hivi dunia iko salama kweli, mbona kama nahisi yatatokea ya Teminator movie na kutumaliza....NAOGOPA!!!!

    Developer yeyote ambaye hana AI skills anakwenda kufutwa, hili nimelithibitisha.
  5. MK254

    Heri uishi na mke mchafu au mwenye kiburi?

    Heri mara mia niishi na mchafu kuliko mwenye kiburi, nitaajiri dada wa kazi afanye usafi pale, ila wa kiburi tutapasuana kwenye hiyo nyumba.
  6. MK254

    Ni aibu sana unakuta mkristo anaikandia Israel na US. Mabavu yao ndio ishara ya amani yako, hivi unadhania hawa radicals wanafurahia imani yako?

    Mungu wabariki Trump na Netanyahu maana wamesaidia sana kwenye kupunguza ugaidi wa dini ya muarabu
  7. MK254

    Wataalam wa AI, hivi dunia iko salama kweli, mbona kama nahisi yatatokea ya Teminator movie na kutumaliza....NAOGOPA!!!!

    :Agakakskagesh: :Agakakskagesh: :Agakakskagesh: Huku tunajadili masuala ya kisayansi sio hayo matapu tapu ya kuvaa mikanzu chafu huko uswahilini na kucheza bao siku inaisha, jikite kwenye hoja, la sivyo tunakupuuza tu humu.
  8. MK254

    Wataalam wa AI, hivi dunia iko salama kweli, mbona kama nahisi yatatokea ya Teminator movie na kutumaliza....NAOGOPA!!!!

    Tunakokwenda sijui kutakaa vipi aidha tunaelekea kujimaliza, maana tayari tumeanza kuwa watumwa wa haya madude, kuna watu hawashirikishi ubongo tena, kila kitu anatupia AI, kuna dogo kazini juzi nililumbana naye, kanipea rpoti moja imeandikwa kitaalam hadi nikashangaa kumbe tuna tunu humu, tuna...
  9. MK254

    Wataalam wa AI, hivi dunia iko salama kweli, mbona kama nahisi yatatokea ya Teminator movie na kutumaliza....NAOGOPA!!!!

    Kwa hivyo ina uwezo wa kupiga stori kabisa mnachat kama ambao mko kijiweni?
  10. MK254

    Wataalam wa AI, hivi dunia iko salama kweli, mbona kama nahisi yatatokea ya Teminator movie na kutumaliza....NAOGOPA!!!!

    Sasa huoni hapo ndio imenizidi maarifa, kwamba inaunga mawazo ya binadamu wengi na kutumia kwa mkupuo, yaani hapa hiki kitu kilicho mbele yangu ni mkusanyiko wa mawazo ya mamilioni ya binadamu, ndio maana kila nikiagiza ifanye kitu inakifanya hata kuzidi namna ningefanya mimi. Hivi hivi ndio...
  11. MK254

    Wataalam wa AI, hivi dunia iko salama kweli, mbona kama nahisi yatatokea ya Teminator movie na kutumaliza....NAOGOPA!!!!

    Mwanzo wa umaskini pia, watu watapoteza ajira bana, chukulia kwa mfano mimi hapa, awali ingenilazimu nitafute developer kadhaa tufanye hii kazi nikiwaongoza maana nina uzoefu, ila sasa nimefanya mwenyewe na kufanikisha kila kitu ndani ya muda mchache.
  12. MK254

    Wataalam wa AI, hivi dunia iko salama kweli, mbona kama nahisi yatatokea ya Teminator movie na kutumaliza....NAOGOPA!!!!

    Hii tayari imetuzidi maarifa, binafsi imenizidi maarifa maana kitu ambacho imetengeneza, kuna mambo imeongeza ambayo sikua hata na maarifa nayo. Juzi pia ilitokea mhasibu kwenye kampuni yetu kaandaa project business plan and budget, document iliyosheheni mahesabu kama yote, nikaona isiwe tabu...
  13. MK254

    Wataalam wa AI, hivi dunia iko salama kweli, mbona kama nahisi yatatokea ya Teminator movie na kutumaliza....NAOGOPA!!!!

    Inatakiwa ubobee kwanza kwenye taaluma ndio uje kutumia AI, la sivyo utaishia kuifanya ikuandalie bogus report and system. Kwa mfano, kuna mara kadhaa imesababisha bugs, ila kwa uzoefu wangu nikaisaidia kutambua wapi kosa lilipo ikawa inarekebisha.
Back
Top Bottom