Kwani hiyo Nigeria ina Wakristo wangapi wanajiachia kuuawa kinyonge, wapambane kama mbwai na iwe mbwai nchi iwe na mafuriko ya damu.
Ukijifanya mnyonge kwa waislamu watawachinja nyote muishe, Mohammad alitembeza upanga ila akakuta kuna maeneo hawakumpa nafasi, hata bara Uropa leo hii wangekua...
:Agakakskagesh: :Agakakskagesh: :Agakakskagesh: Huku tunajadili masuala ya kisayansi sio hayo matapu tapu ya kuvaa mikanzu chafu huko uswahilini na kucheza bao siku inaisha, jikite kwenye hoja, la sivyo tunakupuuza tu humu.
Tunakokwenda sijui kutakaa vipi aidha tunaelekea kujimaliza, maana tayari tumeanza kuwa watumwa wa haya madude, kuna watu hawashirikishi ubongo tena, kila kitu anatupia AI, kuna dogo kazini juzi nililumbana naye, kanipea rpoti moja imeandikwa kitaalam hadi nikashangaa kumbe tuna tunu humu, tuna...
Sasa huoni hapo ndio imenizidi maarifa, kwamba inaunga mawazo ya binadamu wengi na kutumia kwa mkupuo, yaani hapa hiki kitu kilicho mbele yangu ni mkusanyiko wa mawazo ya mamilioni ya binadamu, ndio maana kila nikiagiza ifanye kitu inakifanya hata kuzidi namna ningefanya mimi. Hivi hivi ndio...
Mwanzo wa umaskini pia, watu watapoteza ajira bana, chukulia kwa mfano mimi hapa, awali ingenilazimu nitafute developer kadhaa tufanye hii kazi nikiwaongoza maana nina uzoefu, ila sasa nimefanya mwenyewe na kufanikisha kila kitu ndani ya muda mchache.
Hii tayari imetuzidi maarifa, binafsi imenizidi maarifa maana kitu ambacho imetengeneza, kuna mambo imeongeza ambayo sikua hata na maarifa nayo.
Juzi pia ilitokea mhasibu kwenye kampuni yetu kaandaa project business plan and budget, document iliyosheheni mahesabu kama yote, nikaona isiwe tabu...
Inatakiwa ubobee kwanza kwenye taaluma ndio uje kutumia AI, la sivyo utaishia kuifanya ikuandalie bogus report and system. Kwa mfano, kuna mara kadhaa imesababisha bugs, ila kwa uzoefu wangu nikaisaidia kutambua wapi kosa lilipo ikawa inarekebisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.