Recent content by mk007

  1. M

    Iran Imethibitisha Kuwa Kiongozi Mkuu, Ayatollah Ali Khomeini ameuawa

    Atapaka vix aisee, hata ingekua wewe unaachaje bikra 72 mwamba lazima apake vix. Jumlisha mito ya pombe sasa hivi anagida tu.
  2. M

    Unachokitafuta kwa mchepuko,kuna mwanaume anakipata kwa mkeo

    Ndio, hivyo hakuna jipya chini ya jua
  3. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Weka 10,000,000 upate milioni 50,000,000 uache kusumbu watu.
  4. M

    Je dini zitaeweza kuhimili maendeleo ya teknolojia?

    Kwani kuna sehemu Dini inabadilika ? Wanaobadirika ni watu.
  5. M

    Je dini zitaeweza kuhimili maendeleo ya teknolojia?

    Utabadirika tu watu kupitia quran hiyo hiyo watapinda humo humo ni swala la muda tu. Wameanza akina Dr. Sule kutangaza ulimwengu wa majini wakiwa wanajifichia kwenye uislamu wataendelea kuongezeka wengine pia.
  6. M

    Jinsi Mfalme Constatine wa Rumi na Wanafilosofia Walivyounda Imani Mpya ya Kikristo

    Umenena vema sana kiongozi,japo wahusika hawataki kuliongelea hilo.
  7. M

    Jinsi Mfalme Constatine wa Rumi na Wanafilosofia Walivyounda Imani Mpya ya Kikristo

    Haya andika na utafiti wa Mudy boy kuoa kibinti ambacho hakijabalehe.
  8. M

    Dokezo kuhusu Dini ya Uislam

    Ninyi mnavyowashwa kuchambua dini zisizowahusu huwa mnachukuliaje ?
  9. M

    Wazee wa Betting mmeona mwenzenu Hanscana ameliwa Milioni 7.5?

    Achana na wafia imani, kinachowasukuma kusema hivyo ile hoja yao kuwa betting ni dhambi na sio vinginevyo.
  10. M

    Utofauti mkubwa wa umri na dini

    Kwa dini ipi unayoiongelea hii hii ya Mtume kula kitoto cha miaka 6 na kutunziwa mito ya pombe ?
  11. M

    Utofauti mkubwa wa umri na dini

    Mtu anayeendekeza udini uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana, bahati mbaya sana mwenyewe anakua hajielewi.
Back
Top Bottom