Recent content by mk007

  1. M

    JamiiForums Tanzania Maafisa misitu 2 wahukumiwa kifungo cha miaka miwili jela au kulipa faini ya shilingi laki tano kila mmoja kwa Ruswa ya milioni 8

    Hakimu angekua na lengo la kuwasaidia wangeshinda kesi. Kwa hukumi hiyo kinachpfuata ni kufukuzwa kazi, kwa mantiki hiyo hakimi hajawaokoa labda wakate rufaa then washinde.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Slaa yuko wapi?

    Unataka akiongea useme ana ubaguzi. Amekaa kimya unataka ujue yuko wapi
  3. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Diamond Platnumz: Wanaweka nguvu kwenye mpira. Wasanii wanatudharau, wanatuthamini kipindi cha kampeni tu

    Kwani kwenye kampeni huwa wanakwenda bure au wanalipwa.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mhashamu Prosper Balthazar Lyimo, Askofu wa Jimbo Katoliki la Bariadi, akiwa pamoja na kaka zake ambao pia ni mapadre

    Huo ni udhaifu wa binadamu husika. Hata huko kwenye imani nyingine ambazo viongozi wanaoa napo wapo wenye wanawake nje ya ndoa zao na hata watoto wa nje
  5. M

    JamiiForums Tanzania Iran Imethibitisha Kuwa Kiongozi Mkuu, Ayatollah Ali Khomeini ameuawa

    Atapaka vix aisee, hata ingekua wewe unaachaje bikra 72 mwamba lazima apake vix. Jumlisha mito ya pombe sasa hivi anagida tu.
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unachokitafuta kwa mchepuko,kuna mwanaume anakipata kwa mkeo

    Ndio, hivyo hakuna jipya chini ya jua
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unachokitafuta kwa mchepuko,kuna mwanaume anakipata kwa mkeo

    Fresh tu, cha mtu huliwa na mtu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wajua Tanzania Haijawahi Kuwa na Katiba ya Wananchi?. Katiba Hii Iliyopo ni ya CCM!, Pongezi Katiba ya Samia, Ndio Katiba ya Kwanza ya Wananchi!.

    Kwani analeta katiba mpya au anafanya marekebisho ya katiba ?
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kwanini wanaume mnakuaga na hela zile wiki za mwanzo tu tunapokutana na nyie? Alafu baada ya hapo huwa hatuzionagi tena?

    Maisha wakati wa kampeni ni tofauti na maisha baada ya uchaguzi.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Weka 10,000,000 upate milioni 50,000,000 uache kusumbu watu.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Je dini zitaeweza kuhimili maendeleo ya teknolojia?

    Kwani kuna sehemu Dini inabadilika ? Wanaobadirika ni watu.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Je dini zitaeweza kuhimili maendeleo ya teknolojia?

    Utabadirika tu watu kupitia quran hiyo hiyo watapinda humo humo ni swala la muda tu. Wameanza akina Dr. Sule kutangaza ulimwengu wa majini wakiwa wanajifichia kwenye uislamu wataendelea kuongezeka wengine pia.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Jinsi Mfalme Constatine wa Rumi na Wanafilosofia Walivyounda Imani Mpya ya Kikristo

    Umenena vema sana kiongozi,japo wahusika hawataki kuliongelea hilo.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Jinsi Mfalme Constatine wa Rumi na Wanafilosofia Walivyounda Imani Mpya ya Kikristo

    Haya andika na utafiti wa Mudy boy kuoa kibinti ambacho hakijabalehe.
Back
Top Bottom