Hakimu angekua na lengo la kuwasaidia wangeshinda kesi.
Kwa hukumi hiyo kinachpfuata ni kufukuzwa kazi, kwa mantiki hiyo hakimi hajawaokoa labda wakate rufaa then washinde.
Huo ni udhaifu wa binadamu husika. Hata huko kwenye imani nyingine ambazo viongozi wanaoa napo wapo wenye wanawake nje ya ndoa zao na hata watoto wa nje
Utabadirika tu watu kupitia quran hiyo hiyo watapinda humo humo ni swala la muda tu.
Wameanza akina Dr. Sule kutangaza ulimwengu wa majini wakiwa wanajifichia kwenye uislamu wataendelea kuongezeka wengine pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.