Wakati mwengine inakuaga ni roho mbaya tu ya wazazi unakuta mtoto wao aliacha shule zamani inafika kipindi Cha mtiani ndo wanampeleka au wamesikia jina lake linatumika na mtu wanaanza vurumai ilihali wote wakose
dah yani singeli kwangu mm ni mziki ninaoupenda Sana kitu kinachonifurahisha katika mziki huu hakuna style moja ya kucheza vyovyote utakavyocheza ndo umoumo😋😋😋
Huo ndio udikteta wenyewe asiwaseme vibaya ccm kwa kukaaa madarakani miaka 50 wakati yeye anatamani awe mwenyekiti miaka yote........Kuna vijana wazuri tu Chadema kwann asiwafundishe jinsi ya kuongoza chama yeye akae pembeni........atujampa dola tukimpatia je c ndo atataka atawale milele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.