Recent content by Mjukuu wa Majaliwa K

  1. M

    HESLB: Hatujapunguza mikopo ya Wanafunzi. Tunatoa fedha za kujikimu kulingana na siku za masomo

    Bajeti ilikwisha pita asa izo ela zinazobaki wanataka kuzipeleka wapi...........Ingekuwa mbele tungewaburuza mahakamani
  2. M

    Malawi: Rais Chakwera akosolewa kwa kuteua ndugu kwenye Baraza la Mawaziri

    Si Bora Trump kampa kazi mwanae uyu kawapa kazi familia yake na marafiki zake kwaiyo ni serikali ya familia
  3. M

    Malawi: Rais Chakwera akosolewa kwa kuteua ndugu kwenye Baraza la Mawaziri

    Jamani sijui sisi waafrika tuna akili gani......yani umeingia kwa nguvu ya umma alafu unaanza kufanya upuuzi
  4. M

    Walimu watatu washikiliwa na TAKUKURU Kagera kwa udanganyifu

    Wakati mwengine inakuaga ni roho mbaya tu ya wazazi unakuta mtoto wao aliacha shule zamani inafika kipindi Cha mtiani ndo wanampeleka au wamesikia jina lake linatumika na mtu wanaanza vurumai ilihali wote wakose
  5. M

    Rais Magufuli ateua Wakuu wa Wilaya 9 na Wakuu wa Mikoa, Thobias Andengenye awa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Mwanri astaafu

    Bora gondwe aje uku temeke maana uyu mkuu wa wilaya alieondoka alikuwa mbabaifu katika kufatilia shida za wilaya yake
  6. M

    Matumizi sahihi ya Home theatre Nyumbani

    dah yani singeli kwangu mm ni mziki ninaoupenda Sana kitu kinachonifurahisha katika mziki huu hakuna style moja ya kucheza vyovyote utakavyocheza ndo umoumo😋😋😋
  7. M

    Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

    Ni kweli lakini ndoivo Sina Cha kunipeleka mkoani
  8. M

    Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

    Sijawahi kutoka nje ya mkoa wa Dar esalaam ni mwaka wa 25 huu
  9. M

    Msamaha: Mzee Kinana amuangukia Rais Magufuli kufuatia mazungumzo yake na makada wenzake wa CCM yaliyovuja

    Ata mwana mpotevu alirudi kwa baba yake ya nn shida zote wakati wafanyakazi wanakula na kusaza kwa baba
  10. M

    Mbunge Lijualikali alia bungeni kwa unyanyasaji anaofanyiwa na Mbowe ajiuzulu ubunge amuomba Ndugai CCM wampokee

    Huo ndio udikteta wenyewe asiwaseme vibaya ccm kwa kukaaa madarakani miaka 50 wakati yeye anatamani awe mwenyekiti miaka yote........Kuna vijana wazuri tu Chadema kwann asiwafundishe jinsi ya kuongoza chama yeye akae pembeni........atujampa dola tukimpatia je c ndo atataka atawale milele
Back
Top Bottom